damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,465
- Thread starter
-
- #181
Hali zenu wana jamvi,
Leo hii ningependa kuleta mada ambayo ki ukweli haina majibu ya kueleweka kichwani mwangu.
Hakuna asiye jua kuwa wanawake huwa wana kaharufu ambako ki ukweli kanakera mno ambacho huwa inatoka kwenye tupu zao.
Wengi wao huweka miski, hufukiza udi, hupaka manukato, hupaosha na sabuni na njia nyingine nyiiingi.
Swali langu ni kwamba njia ipi ni bora kiafya ambayo itatokomeza kabisa harufu hiyo ya kunako?
Maana nasikia nyingi zao zinaweza kupelekea kansa ya uke.
Usianike udhaifu wa demu wako hapa!
Si wote, tena mwingine anaogea sabuni ya jamaa na hakuna hicho unachotueleza.
Mpeleke kituo cha afya inawezekana akawa na uambukizo kama fangasi.
Hongera sana, we ni jasiri 🙂
Hongera sana, we ni jasiri 🙂
Alie kuambia mie mwanaume ni nani?Inawezekana unanuka wewe ukikutana na demu kijasho chembamba kinakutoka
Hahahaa, sidhani kwa kweli, kwani, salama j ni mwanamke au mwanaume?ivi hata salama jabiri naye ana nukiaga hiko kiutoko cha kunako
mana
.
Una hakika?Acha kusarandia mabek 3 hilo ndo tatizo
Mtu mwenyewe mbishi!
Nashukuru kwa ushauri wako, bila shaka utawasaidia dada zako wenye hiyo shida
"Swali langu ni kwamba njia ipi ni bora kiafya ambayo itatokomeza kabisa harufu hiyo ya kunako?"
Mama yako mzazi analo jibu, nenda ukamwulize!
ningekuwa na dada kama ww mh! sijui ingekuwaje! pangechimbika hom
Sasa ubishi na kupewa ushauri nasaha una uhusiano gani?
Safi sana, nimeupenda ushauri wako.lla sija muanika mtu kwa kumtaja jina, nimeongelea kwa ujumla