Kalapina ampondea Sugu

Sasa nani hajampa Sugu respect yake?
Kama sugu mwenyewe alimtag kalapina
 
Sasa anayeandika kijuaji ni mm au wewe?
Sasa kama waligombana au kutofautiana ndio inaondoa ukweli kuwa alimtaja kwenye verse zake? Sasa mbona wewe na ujanja wako hajakutaja akamtaja mshamba Pina?
Acheni chuki za kishamba nyinyi,halafu kuonyesha ugoloko wako unaongelea bangi utasema Sugu naye havuti? Hivi mistari mingapi sugu Anajisifia kuvuta mpaka anasema "Ganja ndio inanipa misimamo "?
Nishajua naongea na mtu wa kuja asiyejua lolote
Hivi kwenye Rap na Hip hop kuvuta bangi nayo issue?
Wakati asilimia 90 ya Rappers wanavuta
 
Soul artist ndio nn?
Ndio unajiita Dr Phd
Fala kweli wewe wakuja
 
Pina mtoto mdg sana kwa sugu kuhusu bongo fleva,
Block 41 ,kabla ya maskani kuitwa kikosi Cha mizinga, ilikua inaitwa Indiana na Sugu alikua mmoja wapo na Hashim Dogo
"Indianapolis" kwenye ile ngoma ya Sugu feat. Dolla Soulz "Sema Nao" wameipaisha hiyo maskani. Watu wametoka mbali na hii game Aisee! 1997/1998 ngoma hiyo. Daah!
 
Wamehamia wapi? Kigamboni ni nini? Kimepigwa mnada na benki? Huyu jamaa alikuwaga anajadiliwa hadi msikitini Kinpndoni wazee walikuwa hawamtaki na mitkasi yake ya kupiga watu
Inasemwa aliwahi kuwa bouncer wa club huko Uarabuni (Dubai, UAE).
 
Kama wanaleta figisu kuua kitu alichokianzia na fitina anafanyiwa, walitaka akae kimya?
Unajua haya mambo yana u_snitch mwingi sana. Kama ilikuwa ni idea ya Sugu kuja na hili tamasha ila wahuni wakamzunguka ni lazima "amaindi". Hata ingekuwa wewe ni wazi usingefurahi ila kwa kuwa inainekana waliomfanyia hivi wana nguvu kuliko yeye imebidi tu awe mpole. Ila ni mambo mabaya sana .

Tusisahau hata ile malaria campaign akina Ruge na Cliuds walimpindua wakati ile idea ilikuwa yake .
 
Sugu anakuaga mbele ya muda, ILa watu wanamzunguka
 
Sasa mbona Sugu mwenyewe anamkubali?
Nje ya Bongo 1999 aliimba..
"..Maisha ni magumu lakini cheleapina nakuwa kama mchizi wangu KalaPina."?
Hata Biigie Na Pac walikuwa friends tu hapo mwanzo kama ilivyokuwa kwa Boyz II Men wa Bongo "Edo na JK". Kwa hiyo hoja yako haina maana.
 
Usikariri Maisha hata Ruge na JayDee walikuwa wanajifunika shuka moja. Lakini ilifikia wakati JayDee alisema akifariki Ruge asikanyage msibani kwake. Na alipoondoka Ruge, JayDee hakuonekana. Bila shaka hapa inaonekana wewe ndio nado unanyonya.
 
Jamaa anajishusha sana kwa kuendelea kukomalia historia ya zamani. Nimemuweka mifano ya Pac na Biggie, JK na Edo, na Ruge & JayDee. Kama hataelewa hiyo ni wazi hataelewa milele.
 
Sasa wa kuhadithiwa ni mm au wewe?
Emu muulize kama hajawahi kuishi kinondoni mwanamboka?
Halafu tofauti ya gateman na mlinzi ni nn
Mbona unaleta ulimbukeni nigga!!
Wewe Moms boy umekariri vistory vya maskani tu tutusa wewe.

Jose hajawahi kulinda Filling station, Jose aliajiliwa na BP HQ Kurasini ndio kituo chake cha kazi.

Jose Mpaka anapewa redundant BP na kupunguzwa kazini BP alikuwa hajahamia Kinondoni.

Amekuja UK mimi nipo UK na kaka yake Jose anaitwa Hartman Mbilinyi trip hiyo ametokea Sinza, acha vistory vya kuungaunga.
 
Hata Biigie Na Pac walikuwa friends tu hapo mwanzo kama ilivyokuwa kwa Boyz II Men wa Bongo "Edo na JK". Kwa hiyo hoja yako haina maana.
Wewe ndio hujui kinachoongelewa
Hapa nazungumzia kumuita kalapina mshamba toka enzi hizo ndio nami nikatoa hoja hiyo
So wewe ndio huna maana
 
Wewe choko kumbe hujielewi
Unakunyakunya uharo tu mothefucker
Wewe si ndio umesema alikuwa gate man sasa ndo kazi gani hiyo
Guluguja wee
 
Halafu huyo Sugu wenu ndiyo mjue naye ana matatizo.
kwenye hiyo dili ya malaria aliunda Anti Virus project halafu alivyovuta mpunga kwa kina Ruge akawazunguka wenzake kimyakimya
Naye snitch tu kama nyinyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…