Kala Jeremiah Ft R.O.M.A Nchi ya Ahadi

Kala Jeremiah Ft R.O.M.A Nchi ya Ahadi

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Hulk Share - Music Distribution Platform
Bonge la harakati sikiliza vijana.Ninaamini hawana chama lakini ukiwasikiliza kwa sababu wameimba vitu vya kweli moja kwa moja utahisi wana kadi za Chadema
Si unajuwa nchi hii ukisema ukweli tu wewe mpizani?
Pakua ngoma hiyo!
 
Wewe kama ni mpenzi wa muziki na haswa kama unapenda kufuatilia wana muziki wanaotumia muziki wao kwa kutoa elimu kwa jamii. Je, una maoni gani juu ya wimbo mpya wa NCHI YA AHADI wa mwana muziki huyo?
 
Huu wimbo unapigwa sana katika TV hasa clouds , tofauti na wasanii wengine wanaoimba mapenzi Kijana kamshirikisha Roma na elimu imetolewa katika kiwango cha juu cha melody na picha ningalipenda watanzania wakausikiliza na kutazama video yake . Hawa ndio wanastahili tuzo za kitaifa za uzalendo na sanaa kwa ujumla kwa kufikisha ujumbe bilakupindapinda. mwenye ka picha you tube atusaidie tafadhali




Mweshimiwa unawasikia wapiga kura?

Nawasikia na na waahidi mambo mema hujaga mbele ya safari




Wapiga kura memsikia mweshimiwa
Tunamsikia lakini hatumwelewi, Jinsi tulivopigika hata hatujielewi
 
Nimependa ROMA alivyojibu maswali ya KALLAH, ila naona kama kwa mbali ni COPY n' PASTE ya SIO MZEE wa Prof J.
 
Wewe kama ni mpenzi wa muziki na haswa kama unapenda kufuatilia wana muziki wanaotumia muziki wao kwa kutoa elimu kwa jamii. Je, una maoni gani juu ya wimbo mpya wa NCHI YA AHADI wa mwana muziki huyo?

Kama ni huu aliomshirikisha ROMA uko poa, ila idea ni ileile ya SIO MZEE ya Prof J ft Babu Ayoub
 
Wewe kama ni mpenzi wa muziki na haswa kama unapenda kufuatilia wana muziki wanaotumia muziki wao kwa kutoa elimu kwa jamii. Je, una maoni gani juu ya wimbo mpya wa NCHI YA AHADI wa mwana muziki huyo?

Huyo Kala Jermier Ni Msanii Wa Nchi Iliyo Katika Sayari Gani?
 
Nyimbo ina maudhui mazuri sana lakini angemshirikisha proffesor J ingenoga zaidi
 
Ni marudio ya kikao cha dharura, Roma kaiga hadi style ya kurap
 
Kala jermier profile
Gender:male
Nationality:Tanzanian
Origin:bss
Status:ALIVE AND AMAZING
😱

Nilidhani Ungetatua Tatizo Kwa Kumkosoa Na Kumrekebisha Mtoa Mada Kwa Kosa Katika Jina La Huyo Msanii Na Linavtotakiwa Kuandikwa Na Badala Yake Na Wewe Umeungana Katika Kuonyesha UPOPOMA ULIOTUKUKA Huku Ukidhani Kuwa Umepatia. Jifunzeni Kutegua Mitego Yangu Kwani Muda Mwingine Naweza Kukusanifu Bila Wewe Kujua Na Ukaingia Mkenge. Pole Sana!
 
Yaani ukweli ni kuwa wimbo kautoa muda mwafaka kabisa.
Na kubwa zaidi wabunge waliodanganya wapiga kura wao wajipime pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom