'NCHI YA AHADI' by Kala Jeremiah ft Roma

'NCHI YA AHADI' by Kala Jeremiah ft Roma

MPIGA ZEZE

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
2,539
Reaction score
2,297
Kila anayepinga udhalimu maigizo ya serikali ya CCM, yaani mpenda mageuzi ya kweli, hana budi aangalie hiki kibao cha Kala Jeremiah ft. Roma.
Nimefarijika sana kuona kwamba kuna wana wa kizazi kipya na hususan wasanii ambao wanaweza kuelimisha jamii kwa kutumia usanii wao. Hawa hata wakitia nia ya kugombea ubunge, unawaunga mkono bila kuhoji kunani! Hawa sio aina ya Ms. Ubaya!!
 
Sure.Kalla Jeremiah ni a real Tanzania,together with Roma.
God bless them
 
Wewe hauna ufahamu, hakuna msanii anayefanya mziki kwa ajili ya kuwaambia CCM, bali wanasiasa , na wana siasa siyo wa CCM tu, wapo wabunge wa UPINZANI wanaofanya mambo ya hovyo kabisa. Hivi anachokifanya Lema arusha hivi sasa kweli anawatendea haki wapiga kura wake?
 
Kala ni mwanaharakati namkubali sana huyu jamaaa.
 
Wewe hauna ufahamu, hakuna msanii anayefanya mziki kwa ajili ya kuwaambia CCM, bali wanasiasa , na wana siasa siyo wa CCM tu, wapo wabunge wa UPINZANI wanaofanya mambo ya hovyo kabisa. Hivi anachokifanya Lema arusha hivi sasa kweli anawatendea haki wapiga kura wake?

Naona Arusha mmeshikwa mkashikamana, Lema kamaliza mchezo subirini tu kufunga bao la mkono kama mtapata hiyo chance ya kufika kwenye 18 zake.
 
Naona Arusha mmeshikwa mkashikamana, Lema kamaliza mchezo subirini tu kufunga bao la mkono kama mtapata hiyo chance ya kufika kwenye 18 zake.

Tatizo sio Lema,Lema sio Serikali,Lema is one Individual!Arusha atapita ila bungeni hatapita ndo tatizo!
 
Copy and Paste ya Prof.Jay ft Juma Nature,Lady JD na Babu Ayubu.Wimbo unaaitwa Ndio Mzee.Ni Sugu,Prof.Jay,Mkoloni tu "waliojitoa akili" hawa wengine wote kina Roma na Kala ni wachumia tumbo,wanaonekana kwa wagombea wa CCM kina Lowasa
 
Copy and Paste ya Prof.Jay ft Juma Nature,Lady JD na Babu Ayubu.Wimbo unaaitwa Ndio Mzee.Ni Sugu,Prof.Jay,Mkoloni tu "waliojitoa akili" hawa wengine wote kina Roma na Kala ni wachumia tumbo,wanaonekana kwa wagombea wa CCM kina Lowasa

Yah jamaa copy kabadili tu jina la wimbo
 
Copy and Paste ya Prof.Jay ft Juma Nature,Lady JD na Babu Ayubu.Wimbo unaaitwa Ndio Mzee.Ni Sugu,Prof.Jay,Mkoloni tu "waliojitoa akili" hawa wengine wote kina Roma na Kala ni wachumia tumbo,wanaonekana kwa wagombea wa CCM kina Lowasa

aisee wasanii wa bongo wanakera wakipigwa mpunga wanazimia wote, daa wanawahi sana kulegea kwenye kampeni utawaona tena wale uliokuwa unawaamini sana!
 
Wewe hauna ufahamu, hakuna msanii anayefanya mziki kwa ajili ya kuwaambia CCM, bali wanasiasa , na wana siasa siyo wa CCM tu, wapo wabunge wa UPINZANI wanaofanya mambo ya hovyo kabisa. Hivi anachokifanya Lema arusha hivi sasa kweli anawatendea haki wapiga kura wake?

Aibu yako...nazani utakua nje ya Arusha so usiwasemee tume, kinachofanywa arusha nazani ukijui
 
Back
Top Bottom