Hii Kauli ya Kakobe kuwa ili tatizo la Umeme liishe TZ ni lazima Waziri wa nishati aende kanisani kwa Kakobe kutubu na hakutakuwa na shida ya Umeme tena imekaaje?
Aidha Kakobe huyu kamshambulia Mchungaji mwenzake alieko loliondo kuwa atasababisha Kanisa lake libaki tupu kwa kuwa Watu wengi wanamfuata huko Loliondo kwa ajili ya tiba za maradhi mbalimbali!!!
Jamani huyu Kakobe amechanganyikiwa au nini? kwanini anamwonea wivu Mchungaji wa Loliondo kwa kutibu binaadamu? sasa tumwelewe vipi? hataki wagonjwa wapone kwa kutumia dawa? badala yake anataka wakakeshe Kanisani kwake ili awatibu kwa maombi tu?
gonga hapa usome yote: http://www.mwananchi.co.tz/habari/-/9891-tiba-ya-loliondo-yamtisha-kakobe
Aidha Kakobe huyu kamshambulia Mchungaji mwenzake alieko loliondo kuwa atasababisha Kanisa lake libaki tupu kwa kuwa Watu wengi wanamfuata huko Loliondo kwa ajili ya tiba za maradhi mbalimbali!!!
Jamani huyu Kakobe amechanganyikiwa au nini? kwanini anamwonea wivu Mchungaji wa Loliondo kwa kutibu binaadamu? sasa tumwelewe vipi? hataki wagonjwa wapone kwa kutumia dawa? badala yake anataka wakakeshe Kanisani kwake ili awatibu kwa maombi tu?
gonga hapa usome yote: http://www.mwananchi.co.tz/habari/-/9891-tiba-ya-loliondo-yamtisha-kakobe