Kakobe amshukia Lowassa, azungumza kuhusu Kura ya Maoni

Huyu ni mtume wa Mungu amenena maneno mazuri nampongeza kwa sababu wa ccm wanatudharau cc kuwa hatujui hivyo yote wayafanyayo gizani Mungu huyaweka peupe hongera kakobe kwa ujumbe mtamu shika neno hilo
 
Hao viongozi wa dini wana matatizo ya akili? Si walishaambiwa mambo ya siasa waachie wenyewe?
Huu nao ni uposhajai !! Waliambiwa na nani??
Mwaka 2005 Walisema Kikwete ni chaguo la Mungu CCM Wakashangilia!!
Mwaka huu wanasema waumini wote wajitokeze na kujiandisha kisha kupiga kura ya hapana leo hii CCM wanasema wanamatizo!!
Huu ni Uhuni na upotoshaji wa CCM
 
Huu nao ni uposhajai !! Waliambiwa na nani??
Mwaka 2005 Walisema Kikwete ni chaguo la Mungu CCM Wakashangilia!!
Mwaka huu wanasema waumini wote wajitokeze na kujiandisha kisha kupiga kura ya hapana leo hii CCM wanasema wanamatizo!!
Huu ni Uhuni na upotoshaji wa CCM

Nilimsikia kikwete jana TBC akiwatahadharisha viongozi wa dini kuweka pembeni siasa
 
Nilimsikia kikwete jana TBC akiwatahadharisha viongozi wa dini kuweka pembeni siasa
Mbona mwaka 2010 Kikwete huyo huyo alitoa rai kwa Viongozi wa dini kufundisha makanisani elimu ya siasa kuhusu Mpiga kura sasa amebadilika??
Ndani ya Bibilia kuna maandiko yanahimiza kuombea watawala sasa watafanyaje kazi hiyo bila kujua siasa??
 
Come on...!!! don't get carried away by this money seeker Kakobe...!!!

Kakobe ni Kipenzi cha Dr. Slaa..is known...so get the facts of his political interest, ukijua hilo hupati shida...

Utakuwa kichwa boga kubwa ukiwa mtu wa kusikiliza nakumeza BILA KUWA ANALYST MZURI WA HAWA WATU WA DUNIA HII....Huyu ni mhuni tu kakobe...

Katika mahubiri yake anasema ukweli kwa kiasi kikubwa...but himself haishi katika kweli...ni msemaji wa ukweli by 75% but he does not live on facts...!!!

Hapo kamsema EL kidogo tu, ila sbb mtoa mada nae ana Team lake la kikwere au kimaembe huko, kataka kuleta upuuzi tu, hapo ktk mahubiri kamgusa JK..etc...

Pia wananchi wanaokwenda kwa EL wanatekeleza
maagizo USHAURI WA MWENYEKITI WA CCM ALIO UTOA SONGEA....sio ushauri au maneno ya Kakobe..!!!

So shut up, and let the tough EL get going....!!!

Sikia, tafakari ukweli halisi, chukua hatua, b4 hujaandika urojo rojo..!!!
 
Hahahahaa kapiga mule mule aiseee Dah, the Guy is smart
 
Natamani nisimame juu ya mlima Kilimanjaro niyanene haya maneno ya mtumishi wa Mungu Askofu Kakobe
 
  • Thanks
Reactions: RCA
"Wachungaji wengine wenye njaa, wanathubutu
kusema kwamba eti kwa sababu kwenye Katiba
Pendekezwa kuna Uhuru wa kuabudu, basi sisi
Wachungaji tukae kimya, mengine hayatuhusu,
hawa wana njaa kali, na upeo mdogo wa uelewa
wa mambo haya. Mimi sina njaa, na ninasema
kwa msisitizo, Katiba ni zaidi ya Uhuru wa
kuabudu."

CC: Askofu Pius Ikongo
 
Last edited by a moderator:
Anadhani watanzania wa leo ni sawa na wale wa enzi za Nyerere, kiongozi anakuwa mnafikinafiki eti mpaka ashawishiwe ndipo agombee, kwani akitamka tu hadharani kuwa anautaka urais ni kosa? Mbona Hillary Clinton keshatangaza atagombea urais wa Marekani kupitia chama cha Democratic uchaguzi ujao pasipo kushawishiwa? Kweli wajinga ndio waliwao, take care!!!!
 
1.CCM wamejipambanua kuwa ni Joka linalotakiwa kujivua Gamba
2.Rostam Azizi alijiuvua Gamba lakini Lowasa na Chenge waligoma[Pembe tatu]
3.Juzi Chenge akaweka wazi kuwa yeye ni Joka la Makengeza, hiyo ndo kazi ya Shetani

KING COBRA na wewe ni mshirika wa Chenge unayetakiwa kujivua gamba au wewe bado hujakomaa na kupata makengeza?
 
Mbona naye Kakobe aliwadanganya waumini wake kuhusu madhara ya nguzo za umeme kupita karibu na kanisa lake,na kuwaamurisha waumini wake eti walinde eneo la kanisa ili pasipitishwe umeme,watu wazima na heshima zao wakaacha familia zao na kija kukesha nje ya kanisa eti kulinda kanisa,hayo madhara mbona hatuyaoni ,kila mtu muongo !
wewe utakuwa na matatizo makuwa hivi hujui bado hatari za nyaya za msongo mkubwa wa umeme kupita karibu na nyumba ?
 
Back
Top Bottom