kakobe tapeli kama hao wengine,kakobe ameona dili limehama kwake linaenda loliondo,hapo ni maslahi tu.chuki binafsi..je anataka karama apewe yeye tu?
kakobe tapeli kama hao wengine,kakobe ameona dili limehama kwake linaenda loliondo,hapo ni maslahi tu.chuki binafsi..je anataka karama apewe yeye tu?
Mshiki na wewe ni kitu gani kinakupelekea wewe usiamini kua huu ufunua wa babu sio wa kutoka kwa Mungu alie hai?Yote katika yote, Simsikilizi Kakobe wala nani,
Natamani mtu aniambie ni nini kinatufanya tuamini asilimia mia moja kama ule ni ufunuo wa Kimungu??
Sina shida na uponyaji, kama mtu anakunywa na anapona na apone sana!!
Kwa sababu ulkiwa mgonjwa hata ukiambua kinyesi cha kuku ni dawa ya ugonjwa wako utakunywa tu,
kwa sababu ya shauku ya kupona.
Lakini bado sijajua vizuri, ni kitu gani hasa kinachopelekea sisi kuamini asilimia mia moja kwamba huu ni ufunuo wa Mungu aliye hai,
anayeabudiwa katika Roho na Kweli??
Mshiki na wewe ni kitu gani kinakupelekea wewe usiamini kua huu ufunua wa babu sio wa kutoka kwa Mungu alie hai?
Twende pole pole mshiki, katika imani yako hiyo....kuna kitu chochote uliashaamini asilimia mia kua hii ni sababu ya Mungu baba alie hai? na kama ndio ni nini kilikufanya udhibitishe kua ama kweli huu ni muujiza kutoka kwa Mungu ninae muamini. Maana nielewavyo mimi Ku prove imani sijui kama inawezekana...!!Kwa kweli kaka, mi siwezi kusema sio ufunuo wa Mungu wala siwezi kusema ni ufunuo wa Mungu kwa sababu mpaka sasa sijapata cha kunifanya nithibitishe kauli yangu kuhuso hilo.
Ila kwa sababu kuna kitu kinachoonekana kwa macho ya nyama haya, kwamba mti umechemshwa ukatumika kama dawa,
basi mi nitabaki na hili la mti uliogundulika na babu kwamba ukitumiwa unaponya basi.
Lakini kumhusisha Mungu tena kwa Jina la Yesu asilimia mia moja bado haijaniingia vizuri akilini.
Nahisi nahitaji msaada zaidi hapo.