Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,858
- Thread starter
- #21
kwani kuna ubaya gani akiitwa msaliti huku akiwa na passport yake mkononiMakamanda wataanza kumuita huyo jamaa msaliti; shauri yake.
kwani kuna ubaya gani akiitwa msaliti huku akiwa na passport yake mkononiMakamanda wataanza kumuita huyo jamaa msaliti; shauri yake.
Haya, sawa.kwani kuna ubaya gani akiitwa msaliti huku akiwa na passport yake mkononi
Ni viongozi wa dini wamekosa misimamo sijui wafuasi wa hizo dini wanawachukuliaje hawa wachunga kondoo.Viongozi wa dini tz hawana misimamo
HawaaminikiNi viongozi wa dini wamekosa misimamo sijui wafuasi wa hizo dini wanawachukuliaje hawa wachunga kondoo.
Hawchungi kondoo, bali wanachunga ugali wao."katubu katubu". Kumbe ni njaa ilikuwa inamsumbua kinyonga ; Leo amakuwa wa kijani.Ni viongozi wa dini wamekosa misimamo sijui wafuasi wa hizo dini wanawachukuliaje hawa wachunga kondoo.
Hahaha Tra na uhamiaji wabaya sanaHawchungi kondoo, bali wanachunga ugali wao."katubu katubu". Kumbe ni njaa ilikuwa inamsumbua kinyonga ; Leo amakuwa wa kijani.
Sent using Jamii Forums mobile app