Kakanyagwa na gari (picha inatisha)

Kakanyagwa na gari (picha inatisha)

attachment.php
nimekua na mashaka na hii picha nimeiangalia kwa makini sana na kugundua vitu vifuatavyo
1. Gari husika ni lori yenye tairi 4 kwa maana ya kwamba ina difu mbili.
2. Huyo mtu ameingiaje hapo katikati ya hizo tairi?
3. Kwa jibu la haraka gari lingekua single difu pasipo kuonyesha hilo tairi la mbele yake picha hiyo hiyo ingekua ya kweli kwa hali ya kawaida tairi za mbele tungeziona na damu alafu la pili lingefatia.
4.just photo shop
 
Sote mlango wa umauti tutaupitia. Dah lakini wengine Israel mtoaji wa roho anazichukua kwao katika hali ya kutisha. Sijui hatma yangu eeh mungu mwenyezi nijaalie niwe mwenye kufaulu mauti yanikute hali ya kuwa nipo bien kabisa.
Mungu nakuomba umpunguzie machungu ya maumivu huyo kiumbe pichani.
 
Duh! Lakini huu ubongo wa mzungu tunaweza kutengeneza vidonge vya kuongeza kumbukumbu,
 
daaah!!! niumefungua post hii kichwa kichwa ..daaah. inatisha kwakeli.. R.I.p marehemu but sirud tena kwa huu uzi ...MMMHH!@!!
 
Back
Top Bottom