Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,375
hapo suala la privacy halipo na lisitumike kuficha uovu uliotendeka
there must be something wrong with the man,awe mkweli aombe radhi kwa madudu hayo,na mke awe chonjo na amrudishe jamaa katika mstari wa ndoa maana inaonekana jamaa akisafiri anamsahau wife na kuanza kubehave kama hana marriage responsibility.
Japo hakuna ushahidi wa 100% kweenye hizo picha lakini nia ovu inaonekana hivyo ni bora walimalize kwa busara
there must be something wrong with the man,awe mkweli aombe radhi kwa madudu hayo,na mke awe chonjo na amrudishe jamaa katika mstari wa ndoa maana inaonekana jamaa akisafiri anamsahau wife na kuanza kubehave kama hana marriage responsibility.
Japo hakuna ushahidi wa 100% kweenye hizo picha lakini nia ovu inaonekana hivyo ni bora walimalize kwa busara