endelea kujidanganya!
mtashinda kwenye nchi ya makakakuona
Duhh ,,,mpaka wanyama wanaikubali Chadema , wewe binadamu mwenye akili timamu unasubiria nini?
habari ya Leo ni mauaji ya wangwe ambayo mbowe .slaa.waliyapanga ili waendelee kunufaika
hizo story za wanyama peleka kwenye vijiwe vya kahawa
Duhh ,,,mpaka wanyama wanaikubali Chadema , wewe binadamu mwenye akili timamu unasubiria nini?
Hahahaaaaasa ccm watajinyonga
Kakakuona alikuwa na njaa na kiu akala unga na kunywa maji....
Hiyo hela aliinusa akijua msosi
Acheni kuamini wanyama
Ni utabiri gani wa kisiasa uliwahi kutabiriwa wa huyo kakakuona ukatimia kama alivyotabiri? je unajuaje kama kitendo cha yeye kuichagua bendera ya cdm ni ishara ya kuonesha kushindwa na si kushinda?