tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,139
Kweli watu wanakiu ya Mungu wa kweli. Hii ni ishara tosha kabisa mwanadamu anahitaji nguvu ya Mungu aliye hai katika maisha yake. Bila Mungu hakuna utimilifu wala ukamilifu.
Mungu jifunue kwa watu wako Tanzania, wanakuhitaji katika maisha yao. Wafundishe namna ya kukuita ili uwaonyeshe mambo makubwa, magumu wasiyoyajua. Katika Jina la Yesu Kristo Na iwe hivyo!.
Code:
kwa hiyo kuna mungu aliyekufa?