Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Wameoana kwa ndoa ya Kikristo na kubahatika kupata watoto wawili, wote wa kike.
Tatizo ni kwamba mtoto mmoja yuko upande wa kiumeni na mwingine upande wa kikeni.
Pia baba na mama licha ya kuwa wana nyumba ya familia, kila mmoja ameikimbia na kwenda kupanga jirani na nyumba yao.
Na kibaya zaidi ukiwauliza habari za utengano wao wanakuwa wakali kuliko mwiba wa mbasa, sijui sisi kama ndugu tufanye nini ili kuinusuru ndoa hii.?
Kwa nini wewe uwauliza-ulize kuhusu maisha yao? Lazima wawe wakali, unamfuata kaka yako mpaka chumbani kwake?!!