Kaka Yangu ana Kipaji cha ajabu kwa wasiozaa

Sijui nikiite kipaji au nguvu au balaa .....

Kaka yangu wa kuzaliwa ana miaka 38 hajaoa, ana watoto wengi tu. Kaka yangu huyu amekuwa akizaa na wanawake wagumba au matasa kwa watoto wake wote.

Mtoto wa kwanza alizaa na mwanamke wa miaka 41 ambaye aliachika mara 4 kwa kukosa mtoto, na yeye pasipo kujua kuwa ana hicho kipaji alitembea na huyo dada na yule dada akapata ujauzito na kuzaa mtoto wa kiume. Alitaka waoane ila kaka yangu alikataa akasema kuwa huyo mama ni mkubwa kwake. Yule mama aliolewa na hajazaa tena mpaka leo.

Haikuishia hapo yule dada aliadisia marafiki zake ambao walikuwa hawapati mimba na kutokana na huruma ya kaka yangu akawa anawapa mbegu na wote wamepata watoto wa kiume.

Kisayansi sijui inakuwaje hapo.....


hii kali mshikaji wangu, na kama ni max nikiambiwa nikupe kwa ubunifu wa mambo nakupa >A<
yan fulu mauzo mwana!
bg up!
 
hii kali mshikaji wangu, na kama ni max nikiambiwa nikupe kwa ubunifu wa mambo nakupa >A<
yan fulu mauzo mwana!
bg up!



Mkuu sijaandika kwa kufurahisha watu au hadithi nachoandika ni kweli kwa uzuri kuna baadhi ya JF member wananijua wanajua hilo JEMBE/bro na kazi yake ya huruma kwa wagumba.
 
Mkuu sijaandika kwa kufurahisha watu au hadithi nachoandika ni kweli kwa uzuri kuna baadhi ya JF member wananijua wanajua hilo JEMBE/bro na kazi yake ya huruma kwa wagumba.

Naamini kama ni true thread bila shaka utawapata wengi humu Kamanda.
 
super fertile?
Yale mambo ya zinc na pweza sio?

Sina uhakika kwa sana kama madini ya zinki pia yanarutubisha manii. Nijuacho ni kwamba madini ya zinki ni muhimu sana katika uzalishaji wa homoni za kiume ambazo huhusika katika kuongeza hamu ya ngono.

Sasa huenda pia ukawepo uhusiano baina ya zinki na rutuba ya manii. Ngoja tusubiri maoni ya wengine.
 
sina uhakika kwa sana kama madini ya zinki pia yanarutubisha manii. Nijuacho ni kwamba madini ya zinki ni muhimu sana katika uzalishaji wa homoni za kiume ambazo huhusika katika kuongeza hamu ya ngono.

Sasa huenda pia ukawepo uhusiano baina ya zinki na rutuba ya manii. Ngoja tusubiri maoni ya wengine.

unajua haya mambo unaweza kuambiwa
its dna...ukawa depressed kama hauko that super fertile lol
 
unajua haya mambo unaweza kuambiwa
its dna...ukawa depressed kama hauko that super fertile lol

Bossman, you are right on the money. There is something called unexplained infertility and it accounts for about 10-15 percent of the patients seeking infertility treatments.
 
Nimekumbuka meseji ya Preta kwa yule jamaa aliyejifanya ni bingwa wa kutembea na wanawake wengi. Huyo kaka yako ni malaya tu kama malaya wengine na wala hana la kujivunia kwa huo umalaya wake!
 
Anabambikiziwa watoto anajiona ana nguvu, na aendelee kwenda pekupeku tu ndo atajua mgumba ni nani na tasa ni yupi kama sifa.
 
Back
Top Bottom