livewise1
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 837
- 972
- Thread starter
- #41
Oh...
Kumtumia vizuri hamaanishi umwambie akuote No,ila uwe karibu nae tu kwa simu kila siku. Kuna kumwambia kila atakaloota kuhusu wewe akuahirikishe hata kama ni baya,ili ujue ujipange vipi. Halafu kumtumia vizuri kwa kuyatumia kwa usahihi yale aliyokuotea