Kaka wa Gwajima amshukia Nyalandu

Kaka wa Gwajima amshukia Nyalandu

Mwishowe na wanyama nao wanakuwa maarufu



upload_2017-11-4_16-28-49.png
 
Sasa kaka wa Gwajima anatuhusu nini sie! Alikuwa wapi wakati mdogo wake anahangaika na Bashite!
 
Watu wanatembelea nyota za ndugu zao.

Hatari sana.
 
Hivi mtu akiwa maarufu, na ndugu zake ni maarufu pia? Kaka wa Gwajima! Ipo siku tutasikia kaka wa ndugai ameitisha press conference
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Fursa, ongeza thamani..

Kutafuta umaarufu kwa kupitia jina la ndugu yako ni ushamba wa ngazi ya PhD
 
Huyu nae kauso kadogo kama uchochoro wa panya rodi.unafiki tu unamsumbua mpaka tumbo linamnguruma kwa njaa ! Hupati cheo bado maharamia wake wa ccm maslahi hawajaenea vyeo ! Unapoteza muda wako,kiherehere wa kuzimu wewe unayeishia kuuza sura kwe mitandao.
 
Back
Top Bottom