unapenda sana starehe kwa kweli
![]()
Yaani kwa tabia hii inaku-disqualify kabisa kabisa kutumikia ofisi yoyote yenye maadili na inayojiheshimu.Sio kwenye ngazi ya uwaziri tu bali hata ofisi yoyote hata ya mtu binafsi.Very unprofessional
Hata Bar zinazoheshimika au zenye wateja wanaojiheshimu haziwezi kuruhusu wateja wenye tabia hii
Hata kama,Inaonyesha hadhi ya ofisi ikoje.Hiyo ni ofisi yake,
Ofisi ya mbunge,
Hiyo ni ofisi yake,
Ofisi ya mbunge,
Hiyo ni ofisi yake,
Ofisi ya mbunge,
Hata kama,Inaonyesha hadhi ya ofisi
Sidhani kama unaelewa unachokiongea labda unaongelea ofisi za wanywa viroba?
Ofisi yake ni ipi hasa?
Ofisi ya Mbunge ni yake binafsi au ni mali ya wananchi waliomchagua?
Hivyo ndio Mtu mwenye ofisi yake binafsi anapaswa kufanya ndani ya ofisi?
Ofisi ya Mbunge sio ya umma?
Hata kama,Inaonyesha hadhi ya ofisi
Sidhani kama unaelewa unachokiongea labda unaongelea ofisi za wanywa viroba?
Unataka kutuaminisha kuwa ni sahihi / sawa kwavile tu hata huyu amefanya?
Unataka kutuaminisha kuwa ni sahihi / sawa kwavile tu hata huyu amefanya?
Kwa ofisi yake binafsi inashida gani?
Yaani nimepata mashaka makubwa sana na huyu magufuli baada ya kumpa wizara huyu mr kipara..
maigizo ya hapa kazi tu yameanza kuisha
Unataka kutuaminisha kuwa ni sahihi / sawa kwavile tu hata huyu amefanya?
Mbona huko mlikojifunza uwajibikaji hawajamdisiqualify Barack Obama kwa kuweka miguu mezani?