Kaka utaiweza kasi ya Magufuli?

Kaka utaiweza kasi ya Magufuli?

Mleta mada kahoji jambo la msingi kabisa kwamba ana mashaka kama huyu Makamba atakwenda na kasi ya hapa kazi tu. Lakini jamaa wa CCM hapa wanamwona kama kamtukana mfalme wao.

Kwanza kimaadili ya ofisi za kitanzania ni kunajisi ofisi kwa kuweka viatu ambavyo umetoka navyo chooni, choo zetu nyingi ni chafu. Iangalie soli ya kiatu hicho ina usafi gani wa kuwekwa juu ya mez
a?

Na kuchati kwenye simu nako na kazi atafanya saa ngapi?

Kweli kabisa mkuu bila kuwasahau wale wanaoingia nyumba za ibada na viatu yaani Duniani kuna watu wa ajabu sana.
 
Hata kama chupi ni yako huwezi ivaa juu ya suruali. Nidhamu ya kiongozi ni popote awapo

Hivi kaka yako anaweza kukupangia ulale na mke wako mara ngapi kwa siku? Tunachoongelea hapa ni kwamba ni ofisi yake binafsi na si ya umma. Kwahiyo ni maamuzi yake hata angelala juu ya meza huwezi kumpangia.
 
You must be one hell of a perfect man!

attachment.php

Watu mnavituko..wewe na utamaduni wako na umasikini wa taifa lako unajifananisha na wamarekani..kweli ukilaza ni kipaji
 
Umeiona picha ya Obama hapo juu?

Kwahiyo unajifananisha na obama sio? watanzania mna shida gani..
sisi tofauti na wamarekani..eti hakuna ya aja magu kujua kingereza kwasababu ata raisi wa china hajui..ni vichekesho
 
Watu mnavituko..wewe na utamaduni wako na umasikini wa taifa lako unajifananisha na wamarekani..kweli ukilaza ni kipaji

Vilaza ni nyinyi mnaoona kuweka miguu juu kunashusha utendaji wako! Nyinyi msioweka miguu juu mmefanya nini cha ajabu?? Kujidai mnaakili tu mitandaoni in reality hamna lolote njaa tu.
 
yaani kwa tabia hii inaku-disqualify kabisa kabisa kutumikia ofisi yoyote yenye maadili na inayojiheshimu.sio kwenye ngazi ya uwaziri tu bali hata ofisi yoyote hata ya mtu binafsi.very unprofessional

hata bar zinazoheshimika au zenye wateja wanaojiheshimu haziwezi kuruhusu wateja wenye tabia hii



mbona kaiga toka kwa obama
 
Vilaza ni nyinyi mnaoona kuweka miguu juu kunashusha utendaji wako! Nyinyi msioweka miguu juu mmefanya nini cha ajabu?? Kujidai mnaakili tu mitandaoni in reality hamna lolote njaa tu.

nakupa like! Hawa jamaa wamejawa wivu na unafki mijitu inakalia mda wote kukosoa mafanikio ya wenzao wakat yenyew mivivu kufanya kazi inaishia kuisha kwenye masofa ya mashemeji zao...
 
Kwahiyo unajifananisha na obama sio? watanzania mna shida gani..
sisi tofauti na wamarekani..eti hakuna ya aja magu kujua kingereza kwasababu ata raisi wa china hajui..ni vichekesho

Kwani Lugha ya Taifa Ni ipi!? Na magufuli Ni Wa Taifa lipi!?

Kiingereza sio ishu babu
 
Naaza kuamini maneno ya mbunge Wa ccm aliyesema magufuli in nguvu ya soda tena Pepsi hasa baada ya kuteua baraza la kina muhongo
 
Tatizo huyu anapenda sana kuyaishi maisha Obama
 
Back
Top Bottom