Kaka na dada

Kaka na dada

Woga wako tu! Kwanza wanaume hawakataagi mwanamke maana sie tuna huruma sana, unless uwe na sura kama greda!
 
Habari wakuu ..hii tabia ya wapare kuitana kaka na dada kiukweli inaniboa kuna kaka hapa jirani ni mpare Mimi namuelewa kwa kweli lakini sasa akipita tu et dada washindanze yan toka amejua na Mimi ni mpare ndo kanifanya dada yake kabisa
Defence mechanism
 
Habari wakuu ..hii tabia ya wapare kuitana kaka na dada kiukweli inaniboa kuna kaka hapa jirani ni mpare Mimi namuelewa kwa kweli lakini sasa akipita tu et dada washindanze yan toka amejua na Mimi ni mpare ndo kanifanya dada yake kabisa
Unaonekana kuheshimiwa hutaki!!!!
kwakuwa tayari upo katika mazingira fulani
Kana kwamba anakunyima kitu vile....!!!
 
Anakuandaa kisaikolojia maana nyie mkiwa na watoto mnawaambia watuite uncle.
 
Mwite chumbani afu mpe peremende uone akama ajavunja undugu
 
Habari wakuu ..hii tabia ya wapare kuitana kaka na dada kiukweli inaniboa kuna kaka hapa jirani ni mpare Mimi namuelewa kwa kweli lakini sasa akipita tu et dada washindanze yan toka amejua na Mimi ni mpare ndo kanifanya dada yake kabisa
Funguka kwake akuelewe mengine ni mazito sana
 
Tumia huo ukaka. Mwambie aje kukubadilishia bulb, mengine utamaliza mwenyewe nimekupa hint
 
Habari wakuu ..hii tabia ya wapare kuitana kaka na dada kiukweli inaniboa kuna kaka hapa jirani ni mpare Mimi namuelewa kwa kweli lakini sasa akipita tu et dada washindanze yan toka amejua na Mimi ni mpare ndo kanifanya dada yake kabisa
Unaonekana una hulka ya kupenda sana! Na hautaki mtu kucheza na hisia zako?
 
Back
Top Bottom