ama kweli dunia ni janga
Hii imetokea mjini Babati jana,ambopo dada alishawishiwa na kaka yake kwa sh-50000,ambaye ameoa na mkewe alikuwa kasafiri!Ghafla mke alirudi ghafla bila yawao kutarajia nakuwakuta kama walivyozaliwa chumbani kwake!
umri wa dada plz, je ni muiraq au maana wambulu ni kitu cha kawaida
ama kweli dunia ni janga.
JAAAANGA!Mara mimba!Kama hawajatoa unafikiri nini kitafuata?
Kuzaa taahira.
Imbombo ngafu!!