Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,913
- 3,450
Kwa taarifa hizi tu kuna watu watavimbewa wataanza kuharisha njia nzima.
Upo itune kanunueGood
Mwenye link ya kunisaidia kuupata wa Diamond ft P square
google naona inazingua
Si peko yako, wabongo wengi tuna pride za kijinga sana. Kama unataka mafanikio inabidi ujishushe tuu sometimes, hata kama ikibidi kubeba viatu vya bosi, why not..lol! Ina serious note, wabongo tuache pride siziso na tija kwenye mafanikio. Vitu vya kijinga tunashangilia kweli..sad!Braza NEYO nakuomba nipo chini ya miguu yako kaka naomba unipost kaka nisaidie kaka![]()
![]()
Cc: Iceman 3D
Neyo hyu si wa sexy love na so sick.amefulia.ha trend tena huko.
Sawa kabisa mkuu.Si peko yako, wabongo wengi tuna pride za kijinga sana. Kama unataka mafanikio inabidi ujishushe tuu sometimes, hata kama ikibidi kubeba viatu vya bosi, why not..lol! Ina serious note, wabongo tuache pride siziso na tija kwenye mafanikio. Vitu vya kijinga tunashangilia kweli..sad!
Kwa taarifa hizi tu kuna watu watavimbewa wataanza kuharisha njia nzima.
Duh, aisee tuna safari ndefu sana. Sad!Alikiba angefanya collabo nyingi sema hapendi kujionyesha... Huyo janja janja kamnunua neyo ampost IG.
Usilolijua usijishughulishe nalo, si lako hilo yakheMimi sijui Kiingilishi, kwa hiyo huo wimbo unamaanisha nani anamuoa mwingine!?
Taarifa ninazo, ila siwezi kupongeza tuzo ambazo msanii anajinominate. Tuzo unatakiwa uwe nominated na siyo wewe kama msanii unajinominate. Tuzo unakwenda kujaza fomu ya maombi utadhani unagombea udiwani.
watanzania mna matusiJibu la mjinga ni matusi,kebehi na dharau! Achana naoNimecho kishangaa baada ya neyo kopost hii kitu
Wabongo nao wamejaa kama kumbi kumbi na vijimatusi vyao!!!
Hivi mnapo tukana hovyo mtandaoni nini faida yake!!!
ndo maana nkauliza yakhe. si unajua!Usilolijua usijishughulishe nalo, si lako hilo yakhe
Sasa mkuu si unieleze maana yake badala ya mipasho, maana nshasema kuwa sielewi. Kwani kosa kutoelewa!?Km hujui kiingilishi umejuaje kuwa wimbo unahusu kuoa na kuolewa. Acha kuwaza mashudu. Hata pumba usijaribu.