Kaka Diamond, heshima kwako brother!

Kaka Diamond, heshima kwako brother!

Mr.Ebbo r.i.p alikuwa anaishi Tanga na alikuwa anatoa hit songs, vipi kuhusu Shakira nae pia anaishi U.S.A?
Acheni kumpa faraja za kijinga, hivi anachoimba Diamond na Wiz kid ni sawa?

Izi kokoro, sangoro hata nikikuuliza maana yake hujui ndio uchafu uwe hit za dunia. Over my dead body ooo

Eti unamfananisha na shakira, sema hata westlife walitoka wakiwa wingereza lakin wanaimba kitu ambacho usipopenda melody basi utapenda maneno au lugha anayotumia itakuunganisha nae

Sasa sangoro hz, wabongo tu hatuoni msg itakuwa dunia? Wimbo wa diamond asipokubamba kwa melod kama si mzungumzaji wa kiswahili, basi akushiki popote maana msg hakuna, lugha anayotumia 90% ya dunia hawaijui.

Pili Mziki anaoimba diamond unabeba identity ya nigeria maana wanaiba vionjo, wapi na wapi? Kutoka kiafrika afrika tu aliwaitaji wanaijeria kumpa kick alafu leo umfananishe na wiz kid, akiimba tu wanajua he is from nigeria

Mwisho lugha anayotumia wiz kid hata awe na lafudhi ya kinaijeria lakin msg yake inafika kiurahs. Achen kumpa kichwa bw. Mdogo ana safari ndefu sana na sioni akitoboa maana mziki una maisha mafupi ukizingatia anafika ukomo saiz. Melod zake ni zilezile hana mpya siku hzi


Aisee sasa kwanini isiwezekane kufika huko? Nani alijua wizkid atafika alipo leo?
Badala tumpe moyo mwenzetu yaani jitu linajitutumua kukatisha tamaa kama lenyewe ndio linagawa riziki vile!!
Tujifunze kuwapo moyo wote wanaojaribu kufanya vizuri

majini maimuna hamkosekani....
 
Acheni kumpa faraja za kijinga, hivi anachoimba Diamond na Wiz kid ni sawa?

Izi kokoro, sangoro hata nikikuuliza maana yake hujui ndio uchafu uwe hit za dunia. Over my dead body ooo

Eti unamfananisha na shakira, sema hata westlife walitoka wakiwa wingereza lakin wanaimba kitu ambacho usipopenda melody basi utapenda maneno

Sasa sangoro hz wabongo tu hatuoni msg itakiwa dunia? Pili Mziki anaoimba diamond unabeba identity ya nigeria maana wanaiba vionjo, wapi na wapi? Kutoka kiafrika afrika aliwaitaji wanaijeria kumpa kick alafu leo umfananishe na wiz kid

Mwisho lugha anayotumia wiz kid hata awe na lafudhi ya kinaijeria lakin msg yake inafika kiurahs. Achen kumpa kichwa bw. Mdogo ana safari ndefu sana na sioni akitoboa maana mziki una maisha mafupi ukizingatia anafika ukomo saiz. Melod zake ni zilezile hana mpya siku hzi
Una hasira balaaa.....maana unatokwa povuuuuu hilo hatari sana
 
Una hasira balaaa.....maana unatokwa povuuuuu hilo hatari sana
Hasira kivip kwa lipi? Natoa fact msizotaka kuziona. Niwe na hasira ananilisha mwanamziki mimi? Sikukimbia umande nina shule na maisha sina wivu wa kimasikini ila naona ujinga sana wa kitanzania. Huyu bw. Mdogo mnampoteza kwa sifa za kijinga

Mnafanya anatumia nguvu nyingi kuliko akili. Na anaanza kuharibu
 
Hasira kivip kwa lipi? Natoa fact msizotaka kuziona. Niwe na hasira ananilisha mwanamziki mimi? Sikukimbia umande nina shule na maisha sina wivu wa kimasikini ila naona ujinga sana wa kitanzania. Huyu bw. Mdogo mnampoteza kwa sifa za kijinga

Mnafanya anatumia nguvu nyingi kuliko akili. Na anaanza kuharibu
Kati ya wasanii ma genius bongo domo namba moja coz achievement zake na muda aliokaa kwny game ni ishara tosha kuwa jamaa akili mingi

Hata kipindi anasema kagharamika 45M Tsh kushuti video number one south watu wenye uelewa mdogo kama ww na haters walimbeza sana Mara anaongeza sifuri cjui nn lkn alistiki kwny imani yake now kila msanii anaenda south kushut video na gharama ndo zile zile

So watu kama nyie kwny maendeleo ya mtu mnahitajika ili kuleta ukinzani ili kumchochea mtu kukaza aje aku prove wrong

Mziki cyo kutunga na kuimba ili kutengeza hit ni zaidi ya hayo, ww endelea kutema shit huku jamaa akiendelea kutusua.....tushawazoea watu kama nyie
 
Acheni kumpa faraja za kijinga, hivi anachoimba Diamond na Wiz kid ni sawa?

Izi kokoro, sangoro hata nikikuuliza maana yake hujui ndio uchafu uwe hit za dunia. Over my dead body ooo

Eti unamfananisha na shakira, sema hata westlife walitoka wakiwa wingereza lakin wanaimba kitu ambacho usipopenda melody basi utapenda maneno au lugha anayotumia itakuunganisha nae

Sasa sangoro hz, wabongo tu hatuoni msg itakuwa dunia? Wimbo wa diamond asipokubamba kwa melod kama si mzungumzaji wa kiswahili, basi akushiki popote maana msg hakuna, lugha anayotumia 90% ya dunia hawaijui.

Pili Mziki anaoimba diamond unabeba identity ya nigeria maana wanaiba vionjo, wapi na wapi? Kutoka kiafrika afrika tu aliwaitaji wanaijeria kumpa kick alafu leo umfananishe na wiz kid, akiimba tu wanajua he is from nigeria

Mwisho lugha anayotumia wiz kid hata awe na lafudhi ya kinaijeria lakin msg yake inafika kiurahs. Achen kumpa kichwa bw. Mdogo ana safari ndefu sana na sioni akitoboa maana mziki una maisha mafupi ukizingatia anafika ukomo saiz. Melod zake ni zilezile hana mpya siku hzi
Lugha sidhani ni tatizo kwa Diamond kutofanikiwa worldwide, wacongo walitusua na kizaire+french. Bongo tuliipenda miziki ya kikongo pasi na kujua tafsiri kinachoimbwa. Cha muhimu ni kumtia moyo afanye mziki mzuri tu atafanikiwa, na wabongo walivyo wanafiki Diamond akibadilisha lugha aimbe kwa kutumia English pia mtakuja leta uzi wa kumponda kama sasa hivi mnavyomponda eti anaiga mziki wa kinaigeria. Huo mziki wa bongo wenyewe identity yake haitambuliki sijui mziki wa bongo ni upi singeli, taarab, mduara, mdumange, mchiriku, rnb,zhouk,dansi,etc. Mnaosema dai anaikacha identity ya bongo na kufanya wa kinaigeria hebu wekeni mfano wa nyimbo hapa ambao ni identity ya bongo then ndo tuanze kumsema Diamond kwa kukimbia identity ya bongo
 
Acheni kumpa faraja za kijinga, hivi anachoimba Diamond na Wiz kid ni sawa?

Izi kokoro, sangoro hata nikikuuliza maana yake hujui ndio uchafu uwe hit za dunia. Over my dead body ooo

Eti unamfananisha na shakira, sema hata westlife walitoka wakiwa wingereza lakin wanaimba kitu ambacho usipopenda melody basi utapenda maneno au lugha anayotumia itakuunganisha nae

Sasa sangoro hz, wabongo tu hatuoni msg itakuwa dunia? Wimbo wa diamond asipokubamba kwa melod kama si mzungumzaji wa kiswahili, basi akushiki popote maana msg hakuna, lugha anayotumia 90% ya dunia hawaijui.

Pili Mziki anaoimba diamond unabeba identity ya nigeria maana wanaiba vionjo, wapi na wapi? Kutoka kiafrika afrika tu aliwaitaji wanaijeria kumpa kick alafu leo umfananishe na wiz kid, akiimba tu wanajua he is from nigeria

Mwisho lugha anayotumia wiz kid hata awe na lafudhi ya kinaijeria lakin msg yake inafika kiurahs. Achen kumpa kichwa bw. Mdogo ana safari ndefu sana na sioni akitoboa maana mziki una maisha mafupi ukizingatia anafika ukomo saiz. Melod zake ni zilezile hana mpya siku hzi
ha haaa haaaa walishaturahisishia wenzetu waliosema wivu wa kike!
Mayotte alikoenda juzi kuna wanaijeria kule? zimbabwe je? mara ngapi anaenda kufanya show usa?
Eti anaelekea kufika mwisho! mtu anazidi kuchanja mbuga we unejificha na ka ID kako feki humu unamtabiria mwisho!
Mwenye uwezo wa kumshusha ni Mungu tu aliyemuweka juu
 
Acheni kumpa faraja za kijinga, hivi anachoimba Diamond na Wiz kid ni sawa?

Izi kokoro, sangoro hata nikikuuliza maana yake hujui ndio uchafu uwe hit za dunia. Over my dead body ooo

Eti unamfananisha na shakira, sema hata westlife walitoka wakiwa wingereza lakin wanaimba kitu ambacho usipopenda melody basi utapenda maneno au lugha anayotumia itakuunganisha nae

Sasa sangoro hz, wabongo tu hatuoni msg itakuwa dunia? Wimbo wa diamond asipokubamba kwa melod kama si mzungumzaji wa kiswahili, basi akushiki popote maana msg hakuna, lugha anayotumia 90% ya dunia hawaijui.

Pili Mziki anaoimba diamond unabeba identity ya nigeria maana wanaiba vionjo, wapi na wapi? Kutoka kiafrika afrika tu aliwaitaji wanaijeria kumpa kick alafu leo umfananishe na wiz kid, akiimba tu wanajua he is from nigeria

Mwisho lugha anayotumia wiz kid hata awe na lafudhi ya kinaijeria lakin msg yake inafika kiurahs. Achen kumpa kichwa bw. Mdogo ana safari ndefu sana na sioni akitoboa maana mziki una maisha mafupi ukizingatia anafika ukomo saiz. Melod zake ni zilezile hana mpya siku hzi
Mkuu labda tu nianzie kwa kukuuliza unafuatilia muziki wa Diamond? Maana isije ikawa unacriticize mtu ambaye hujui keshapiga show nchi ipi na ipi, anakubalika nchi ipi na ipi.

Diamond keshapiga show kwenye baadhi ya nchi ambazo hawajui hata kidogo Kiswahili kama mayote, Zimbabwe na Nigeria na amepata mapokezi makubwa. Embu pitia account yake YouTube uone watu wasiojua Kiswahili wanavyoitikia nyimbo zake yaani kwa jinsi ulivyo na chuki na huyu bwana mdogo unaweza kupasua simu yako.

Hoja ya lugha haina mashiko linapokuja suala la music, leo hii wabongo asilimia kubwa hatuelewi kingereza, lakini nyimbo zilizoimbwa kingereza zinatubamba vibaya mno. Watu wanapenda nyimbo za kihindi, kikongo nk pasipo kuelewa neno hata moja.
 
Kwa haraka cha kujiuliza ni Ne-yo ndio kusema kaupenda sana huu wimbo?

Kwa nini au promote? Jibu utakalojipa ndio sahihi kwako.

Uwezo wa diamond kuwa global ni mdogo sana. Aongeze umaarufu tu lkn kuwa msanii wa dunia kama akina Ne-Yo ni ndoto za mchana

Kwanza uwezi kutoka kama hauishi marekani, ni sawa na kutoka ukiwa mkoani bila kuja dar ni ngumu

Pili tujue kwasasa kufanya Collabo na wasanii wa nje ni easy tofauti na zamani, zamani kumuona Ne Yo haya kwenye stage za mziki nchi kama Tanzania ni ishu leo utandawazi na kutafta pesa msanii level za dunia kukipa shavu ukimlipa ni easy tu

Kama P-square bado hawajawa global ndo itakuwa Diamond?

Level zake mwisho nigeria na mha mwenzie Alikiba
Kuna wanaohamia marekani baada ya kuwa maarufu. Mbona wengi tuu, na wanafanya vizuri. You will never know, unless you try. Tupeane moyo jamani.
 
"Hard work forever pays wandugu"

Nimeona diamond akiwa studio anatengeneza ile kazi ya Salome..yaani director yeye, mtunzi yeye, mpinga ngoma yeye, producer yeye n.k

Unaiona kabisa dhamira yake ya dhati ya kutaka kufanikiwa beyond expectations za watu....he is aggressive in a positive way.

Go Diamond sky is the limit....spread your wings and fly as high as you can.

Sky is and should not be the limit......others have been to the moon already (with light touch;-)!

So let him push forward the world has limitless opportunities.

He is an incredible guy. I wish him all success that the world may offer and of course the very best he can give to the world.
 
Mkuu labda tu nianzie kwa kukuuliza unafuatilia muziki wa Diamond? Maana isije ikawa unacriticize mtu ambaye hujui keshapiga show nchi ipi na ipi, anakubalika nchi ipi na ipi.

Diamond keshapiga show kwenye baadhi ya nchi ambazo hawajui hata kidogo Kiswahili kama mayote, Zimbabwe na Nigeria na amepata mapokezi makubwa. Embu pitia account yake YouTube uone watu wasiojua Kiswahili wanavyoitikia nyimbo zake yaani kwa jinsi ulivyo na chuki na huyu bwana mdogo unaweza kupasua simu yako.

Hoja ya lugha haina mashiko linapokuja suala la music, leo hii wabongo asilimia kubwa hatuelewi kingereza, lakini nyimbo zilizoimbwa kingereza zinatubamba vibaya mno. Watu wanapenda nyimbo za kihindi, kikongo nk pasipo kuelewa neno hata moja.
Mkuu Mayote si hapo Commoro waswahili kibao na kingazija na kiswahili vinaingiliana, na wanapenda miondoko ya pwani ndio maana wanaimba sana nasema nao. Na nikupe taarifa ya ziada kuwa hata nyimbo za hadija kopa pale mayote zinaimbwa balaa

Then Mayote, Zimbabwe na Nigeria ni Afrika nisome vema. Midundo ya kinaijeria anayotumia diamond lazima iwashike tu nchi hizo. Na kwasababu ya tamaduni ya nchi kama zim, Tanzania, kenya, nigeria, uganda na ghana lazima ashike tu

Kuna nchi kama Cameoon, ivory cost, Algeria hawezi toboa. Ulaya kila siku anaimba kwenye event za wabongo na hata kwenye insta yake akipiga show ulaya utaona katupia watu kumi wa mbele tu. Ukweli kutoboa dunia si mchezo.

Na unasema wabongo wanapenda nyimbo za kingereza? Labda kwa mlioenda shule, peleka akina Ne-Yo uswahilini aliko na fans wengi diamond uone kama wanamuelewa. Na ndio maana nyimbo alizofanya kwa mahadhi ya mbele kama U make me sing ni nzuri sana tu ila Tanzania haikuvuma kivile.

Na nnakuapia utarudi kuniambia kwa Tanzania hiyo nyimbo alipiga na Ne Yo haita hit maana fans wengi wa bongo na uingilish mbalimbali.

Time will tell
 
ha haaa haaaa walishaturahisishia wenzetu waliosema wivu wa kike!
Mayotte alikoenda juzi kuna wanaijeria kule? zimbabwe je? mara ngapi anaenda kufanya show usa?
Eti anaelekea kufika mwisho! mtu anazidi kuchanja mbuga we unejificha na ka ID kako feki humu unamtabiria mwisho!
Mwenye uwezo wa kumshusha ni Mungu tu aliyemuweka juu
Mayotte unajua ilipo? Kama hujui nyamaza, unajua lugha na asili ya lugha yao?

Hata P square walipiga Africa Diamond hajaona ndani na bado hawajaitoboa Dunia. Na wanapotea sasa

Zimbabwe sio dunia
Au unachanganywa na uswahili mwingi kila dakika ametupia clip?

Wanapiga show akina wiz kid, fally pupa, Davido kwenye page zao wanatupia vitu vichache. Huyu mtandale mwenzangu hata akiitwa kwenye birthday marekani anatupia clip yupo uwanja wa ndege wazee mnachanganyikiwa kuwa jamaa ana show nyingi international
 
Mayotte unajua ilipo? Kama hujui nyamaza, unajua lugha na asili ya lugha yao?

Hata P square walipiga Africa Diamond hajaona ndani na bado hawajaitoboa Dunia. Na wanapotea sasa

Zimbabwe sio dunia
Au unachanganywa na uswahili mwingi kila dakika ametupia clip?

Wanapiga show akina wiz kid, fally pupa, Davido kwenye page zao wanatupia vitu vichache. Huyu mtandale mwenzangu hata akiitwa kwenye birthday marekani anatupia clip yupo uwanja wa ndege wazee mnachanganyikiwa kuwa jamaa ana show nyingi international
kwahiyo aogope kutupia video na picha kisa anakuogopa wewe au kwasababu wengine hawafanyi hivo?
Acha kila mtu awe huru kufanya anajisikia
 
Back
Top Bottom