Kabisa hii ni aibuTaarifa ninazo, ila siwezi kupongeza tuzo ambazo msanii anajinominate. Tuzo unatakiwa uwe nominated na siyo wewe kama msanii unajinominate. Tuzo unakwenda kujaza fomu ya maombi utadhani unagombea udiwani.
Wewe kupiga ngoma,kuimba,kuingiza biti mwenyewe je issue ajira kwa wengine itawezekana?"Hard work forever pays wandugu"
Nimeona diamond akiwa studio anatengeneza ile kazi ya Salome..yaani director yeye, mtunzi yeye, mpinga ngoma yeye, producer yeye n.k
Unaiona kabisa dhamira yake ya dhati ya kutaka kufanikiwa beyond expectations za watu....he is aggressive in a positive way.
Go Diamond sky is the limit....spread your wings and fly as high as you can.
Lisilokuganda usiling'ang'anie litajakukutia kilema bureendo maana nkauliza yakhe. si unajua!
Wakuwapa ajira wako wapi? Waswahili hawa wanaotaka mafanikio kwa siku moja? Bila kujua It takes courage, passion, endurance and strong determination kufanya kazi nzuri, ndo maana diamond anaona ni bora amenyeke mwenyewe tu kwenye multitask maana waswahili watakuhudhi na kutinyanga kazi.Wewe kupiga ngoma,kuimba,kuingiza biti mwenyewe je issue ajira kwa wengine itawezekana?
Wabongo kwa kukatisha wenzao tamaaKwa haraka cha kujiuliza ni Ne-yo ndio kusema kaupenda sana huu wimbo?
Kwa nini au promote? Jibu utakalojipa ndio sahihi kwako.
Uwezo wa diamond kuwa global ni mdogo sana. Aongeze umaarufu tu lkn kuwa msanii wa dunia kama akina Ne-Yo ni ndoto za mchana
Kwanza uwezi kutoka kama hauishi marekani, ni sawa na kutoka ukiwa mkoani bila kuja dar ni ngumu
Pili tujue kwasasa kufanya Collabo na wasanii wa nje ni easy tofauti na zamani, zamani kumuona Ne Yo haya kwenye stage za mziki nchi kama Tanzania ni ishu leo utandawazi na kutafta pesa msanii level za dunia kukipa shavu ukimlipa ni easy tu
Kama P-square bado hawajawa global ndo itakuwa Diamond?
Level zake mwisho nigeria na mha mwenzie Alikiba
Namba moja kidunia.Wabongo kwa kukatisha wenzao tamaa
Mr.Ebbo r.i.p alikuwa anaishi Tanga na alikuwa anatoa hit songs, vipi kuhusu Shakira nae pia anaishi U.S.A?Kwa haraka cha kujiuliza ni Ne-yo ndio kusema kaupenda sana huu wimbo?
Kwa nini au promote? Jibu utakalojipa ndio sahihi kwako.
Uwezo wa diamond kuwa global ni mdogo sana. Aongeze umaarufu tu lkn kuwa msanii wa dunia kama akina Ne-Yo ni ndoto za mchana
Kwanza uwezi kutoka kama hauishi marekani, ni sawa na kutoka ukiwa mkoani bila kuja dar ni ngumu
Pili tujue kwasasa kufanya Collabo na wasanii wa nje ni easy tofauti na zamani, zamani kumuona Ne Yo haya kwenye stage za mziki nchi kama Tanzania ni ishu leo utandawazi na kutafta pesa msanii level za dunia kukipa shavu ukimlipa ni easy tu
Kama P-square bado hawajawa global ndo itakuwa Diamond?
Level zake mwisho nigeria na mha mwenzie Alikiba
Aisee sasa kwanini isiwezekane kufika huko? Nani alijua wizkid atafika alipo leo?Kwa haraka cha kujiuliza ni Ne-yo ndio kusema kaupenda sana huu wimbo?
Kwa nini au promote? Jibu utakalojipa ndio sahihi kwako.
Uwezo wa diamond kuwa global ni mdogo sana. Aongeze umaarufu tu lkn kuwa msanii wa dunia kama akina Ne-Yo ni ndoto za mchana
Kwanza uwezi kutoka kama hauishi marekani, ni sawa na kutoka ukiwa mkoani bila kuja dar ni ngumu
Pili tujue kwasasa kufanya Collabo na wasanii wa nje ni easy tofauti na zamani, zamani kumuona Ne Yo haya kwenye stage za mziki nchi kama Tanzania ni ishu leo utandawazi na kutafta pesa msanii level za dunia kukipa shavu ukimlipa ni easy tu
Kama P-square bado hawajawa global ndo itakuwa Diamond?
Level zake mwisho nigeria na mha mwenzie Alikiba
Tandale siku hizi kunaitwa Ndola..Niko Ndola ,Zambia muda huu.Vijiwe vyote vya starehe na radio stations wanapiga nyimbo za Diamond,wakimfananisha na wanamuziki kama kina P-Square. Kweli Diamond ni maarufu!
Mr.Ebbo r.i.p alikuwa anaishi Tanga na alikuwa anatoa hit songs, vipi kuhusu Shakira nae pia anaishi U.S.A?
Tatizo lao wamejaa ujinga sanaMbona hujampongeza yule braza yako mwingine kwanza maana juzi karamba tupo tatu,
Au unapendelea?
Ukiamua kupongeza pongeza kaka zako wote kwa juhudi zao,
Au ndo kusema Huna taarifa na hizo tuzo?
Hapendi kujionesha kwa maana anakataa collabo? Mbona collabo za ndani anafanya inamaana hapo hajioneshi?Alikiba angefanya collabo nyingi sema hapendi kujionyesha... Huyo janja janja kamnunua neyo ampost IG.