Km hujui kiingilishi umejuaje kuwa wimbo unahusu kuoa na kuolewa. Acha kuwaza mashudu. Hata pumba usijaribu.Mimi sijui Kiingilishi, kwa hiyo huo wimbo unamaanisha nani anamuoa mwingine!?
Banggggg,...... the best reply everrr.....Taarifa ninazo, ila siwezi kupongeza tuzo ambazo msanii anajinominate. Tuzo unatakiwa uwe nominated na siyo wewe kama msanii unajinominate. Tuzo unakwenda kujaza fomu ya maombi utadhani unagombea udiwani.
We jamaa unaakili sanaTaarifa ninazo, ila siwezi kupongeza tuzo ambazo msanii anajinominate. Tuzo unatakiwa uwe nominated na siyo wewe kama msanii unajinominate. Tuzo unakwenda kujaza fomu ya maombi utadhani unagombea udiwani.
Kwa maana nyingne wengne wanaumiza koo lakn kichwan ziiiiiiDiamond alishatoa somo, haumizi koo pekee anumiza kichwa.. Hapo wa mchangani wanaona maluweluwe tu..!!
Hahahaha kwamba nnDiamond alishatoa somo, haumizi koo pekee anumiza kichwa.. Hapo wa mchangani wanaona maluweluwe tu..!!
Wanaboa sana.Nimecho kishangaa baada ya neyo kopost hii kitu
Wabongo nao wamejaa kama kumbi kumbi na vijimatusi vyao!!!
Hivi mnapo tukana hovyo mtandaoni nini faida yake!!!
Wajitume na kuthubutuNataman akina darasa, Bengal, jux, ramadee, alikiba, wangekuwa magenius kama diamond make wanaonekana kuwa slow learner sana