Kaka afumaniwa na dada ake

uyu emasry boya kweli na kama wamelelewa kiislamu je...kojoa ukalale mchana unakaribia

Hamna malezi ya kiislam hapo ww,Uislam kwanza haufundishi hivyo,hawo watakua waliwaona wale makasisi wa vatican wakilawiti watoto
 
Watoto wa siku hizi Mitandao na TV zinawaponza
 

Ina maana Wadada Tz wameisha hadi hawa madogo walane wenyewe kwa wenyewe !!! Eti, Mdogo wangu charminglady nifafanulie kulikoni hadi wafike hapo.
 
Last edited by a moderator:
Maadili yanahusika hapa, hao watoto wangelelewa katika Tabia za kiislam wasingethubutu kufanya hayo.

Kweli wasingefanya hivyo, lakini wangekuwa wanarukwa ukuta. Malezi yenu yanachochea hiyo kitu.
 
Dare to talk openly,wamefumaniwa wanafanya nini?Wanakomba mboga,wanakwiba pesa,wanauza tv etc?Kwanini mnawapiga!

Yote uliyoyataja hayahusishi "kufumaniwa".

Kiswahili ni lugha yako ya ngapi?
 
Huyo dadake alimfumania kakake akila uroda na mumewe?

Kama dada na kaka walikuwa wanakulana, hapo hakuna kufumaniwa hapo kuna kufumwa na si kufumaniwa.

Anaefumania ni mke au mume tu.
 
peleka usenge uko topic iko mbali na udini unaanza uchochez au ---- weww
 
ni uchochezi mkuu kuna waislam wenye maadili mabaya na mazur na wakristo hivo hivo....just dt put the religion staffs kwa thread kama hii
 
Uislam haufundishi hivyo wala usiusingizie.[/QUOTE
So unataka kumaanisha waislamu wanaopotoka na kufanya ulawiti, sio waislam? Kufundishwa na kuelewa ni vitu viwili tofauti. Hata ukristo haufundishi hivo FYI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…