BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
Hahahahaha lol! Hii mitandao inadumaza decision making abilities za baadhi ya Wanadamu.
Yani mbouo inahitaji ruksa from jf
Yani mbouo inahitaji ruksa from jf
[emoji23]Yani mbouo inahitaji ruksa from jf
Halafu wewe.....Hata Mimi Nina Kesi kama yake....ila Muhusika yupo JF!Inasimama kweli wewe?
Kwa hiyo wabichi hawana ngoma!?Mkuu lakini mtoto anaonekana bado mbichi kabisa.
Si umtmbe???Halafu wewe.....Hata Mimi Nina Kesi kama yake....ila Muhusika yupo JF!
Acha zako big,saiv msimu wa mavuno twende zetu Lulembela mnadani tukapige hela achana na mapenzi.Habri wana MMU ,
Mpaka sasa nashindwa kuelewa nini nifanye ndio maana nimekuja kwenu waheshimiwa mnishauri juu ya jambo hili.
Kazi yangu kwa sasa ni bodaboda na ninajulikana karibu ushirombo yote kama big
Kutokana na kazi yangu nina wateja wengi , mmoja wa wateja wangu ni huyu mmama ambae ana binamu yake ambae alikuwa anaishi shinyanga ila kwa sasa yupo humu ushirombo kwa muda tu,
Jana nikiwa zangu VATCAN nimepaki pikipiki yangu yule mmama akanipigia simu nimfuate nimpeleke wadutya club nikajua ni dili la pesa ile kufika nikamkuta yupo na binamu yake nikawapeleka ila SIKULIPWA nikamezea,
Na yule binti mgeni inshort kajenga sana mazoea na mimi wakati hata SIJAMTONGOZA nikampima kama ni mpenda pesa kwa kumlengesha kwa jamaa flani pedeshee akakataa na kusema ananitaka mimi tu na mimi nimeshaoa ila sijamwambia kama nina mke ila nina ashki ya kumgegeda tu halafu niachane nae ,
Ila kinachonipa mawazo ni kwamba haitaathiri kazi na kipato changu baada ya kumgegeda manake akili za wanawake wanazijua wao wenyewe,
NATAMATISHA NAWASILISHA
Anha bonge la pointHebu kabla hujafuata ushauri JF kwa mijitu ya hovyo ambayo hata huijui, unaonaje swala hili mkalijadili Na mkeo mbele ya wazazi wenu?
Mkuu mi nasubiri mpunga ushuke bei nihemee magunia ya kutosha .Acha zako big,saiv msimu wa mavuno twende zetu Lulembela mnadani tukapige hela achana na mapenzi.
Kesho asbh uje kwa mama salome stand nikupige supu safi ya kuku
Mkuu hunitakii mema.Jilipue tu
Una maanisha nini mkuu?kwani wewe ni jitu la hovyo?
√ 100%1 + 1 = 11
Kumbe wajuaMkuu ila mi nahisi itaniathiri si unajua penzi kitovu cha uzembe.