hahahahaaaaa, wanaogopa kutoa wimbo mpya maana hari ngumu kila ngoma wakitoa bokoHalafu wenyewe wanajiita team muziki mzuri, mziki mzuri unaishia siku 3 tu hamna kitu.
Na wakitaka kutoa tu,lazima wamchokoze MOND,la sivyo itasikika siku ya kwanza ikipata bahati basi utausikia tena siku ya pili kwenye radio yao EA radio.hahahahaaaaa, wanaogopa kutoa wimbo mpya maana hari ngumu kila ngoma wakitoa boko
Iko Kenya imeshika no.1 kwa kusikilizwa na kutazamwa YouTube....kajiandae hata mipakan haijatoboatuanze na Salome, iko wapi??
Msikilize kaka yako anachokuelekeza, Huyo katangulia kuliona jua,hivyo basi hatoi povu Bali anakurekebisha acha zululu zululuu kusikiliza nyimbo zinazopigwa hebu tuliza akili yako ufikirie single yako ya maisha ambayo bado haijatokaPovuuuuu linakutoka
Eti team kiba mara team mondi huu ujinga cjawah kuulewa kwa nn unafuatiliwa.
Salome ndio ngoma no.1 inayotrend huko Kenya
na kama Hapa Dk 20 zilizopita nimesikia inapigwa kwenye Channel E... asubuhi tu nimeamka nasikia jirani yangu ameweka sauti ya juu kabisa..
Nadhani unauliza "iko wapi" baada ya kuifuta kwenye simu yako mkuu
Bila kiki kwa domo hamna jipya kajiandae buuuuuuuuuuumae imebuma.....promo la kufa mtu alafu ngoma imetoka boko.....mtaaani ni mziki tu na kokoro kajiandae kapuniacheni ushamba nyie,
kila kilichokua na mwanzo akikosi mwisho coz majibu hayo uliyotoa anaweza kuyatoa mtu mwingine kutetea Kajiandae.
Bila kiki kwa domo hamna jipya kajiandae buuuuuuuuuuumae imebuma.....promo la kufa mtu alafu ngoma imetoka boko.....mtaaani ni mziki tu na kokoro kajiandae kapuni
Kokoro ina views 1.3m na ina mwezi mmoja while kajiandae ina 1.5m views na ina miezi mitatu so linganisha apo ww mwenyeweKokoro imeishia wapi pamoja na promo za kimataisha, linganisha viewers kati ya Kajiandae na Kokoro ndo upate majibu
Kokoro ina views 1.3m na ina mwezi mmoja while kajiandae ina 1.5m views na ina miezi mitatu so linganisha apo ww mwenyeweumetazama views za hizo nyimbo mbili you tube??