Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,185
- 22,588
Thithi thimba tunataka CAF
Ilikuwa nafasi yetu hii. Kila jema ahly
Walioinyia fainali wameshachezea kichapo kwa simba tena walikua wanaomba poo...hapa kwa mkapa.
Inatia matumaini kuwa tukiongeza spidi tunaweza...
Kwani kuwatoa Wydad ndio kigezo gani? timu inashindwa kupata kwake hata goli moja haina lolote, hao Kaizer nasema tena hawaamini kama walitoka salama kwa Mkapa.
Wydad waarabu koko tu wale.
Huyo Ahly mwenyewe anaijua Simba kwa Mkapa ilimfanya nini.
YangaJe wewe south hukuomba po?
Simba na kaizer nani amemtoa mwenzake mashindanoni?
Wewe ishia kusema hivyo hivyo kuwa walifanywa nini wakati hao unaojigamba umewafanya kitu wameshavuka hatua na wanacheza fainali nawewe umeishia roboKwani kuwatoa Wydad ndio kigezo gani? timu inashindwa kupata kwake hata goli moja haina lolote, hao Kaizer nasema tena hawaamini kama walitoka salama kwa Mkapa.
Wydad waarabu koko tu wale.
Huyo Ahly mwenyewe anaijua Simba kwa Mkapa ilimfanya nini.
Umeandika bila kuwaza. Kwahiyo wao hawajakufunga hao walioingia fainali? Haukuomba poo huko sauzi?Walioinyia fainali wameshachezea kichapo kwa simba tena walikua wanaomba poo...hapa kwa mkapa.
Inatia matumaini kuwa tukiongeza spidi tunaweza...
Jua Kali na korona vinaibeba Simba na kuisahau Yanga na Namungo?Simba jua kali na joto la dar linambeba sana.. pia corona imembeba sana... ila mipango simba hana ya kumzidi kaizer chiefs msimu huu.
Kaizer hana mpira wowote wa maana.. ila ana game plan za maaana.. ame suprise timu nyingi sana mwaka huu.. hata simba hakutegemea zile 4
Alahry pira biriani, mwache KC akabutue aone