Kaitwa Mbowe, wengine mnaenda kufanya nini?

Kaitwa Mbowe, wengine mnaenda kufanya nini?

Hujui sheria......u have the right to remain silent....anything you say will be testified against you.....you have the right to call ur lawyer...... hata haya huyajui?

ajulie wapi huyu mbulula class 7;tisheti kijani imepauka mgongoni,haoni uchungu,anauziwa dawa feki wakati wapemba wakipelekwa Appolo india kwa hella za manispaa za bara
 
kama ni mwakilishi wenu mwacheni aende atawawakilisha tu. Ninyi mnaenda kufanya nini wakati hamjaitwa? Pilipili usiyoila yakuwashia nini?

Lazima twende mnataka aende peke yake ili wamfanyie nini?hii pilipili tunaila pale inapotuwasha lazima tustuke
 
Hujui sheria......u have the right to remain silent....anything you say will be testified against you.....you have the right to call ur lawyer...... hata haya huyajui?
Atajuaje wakati anawahi buku 7?
 
ajulie wapi huyu mbulula class 7;tisheti kijani imepauka mgongoni,haoni uchungu,anauziwa dawa feki wakati wapemba wakipelekwa Appolo india kwa hella za manispaa za bara

Mkuu hizo ndizo akili za vijana wa lumumba,na wanajiita wasomi hapa kazi ipo na matamko yao ya ajabu ajabu hayana mbele wala nyuma
 
Mpaka sasa ccm wanaogopa maandamano wameanza kutisha watu mtaani kwa kupitisha vifaa vya kivita
 
Mpaka sasa ccm wanaogopa maandamano wameanza kutisha watu mtaani kwa kupitisha vifaa vya kivita

wananchi wanapata madhara makubwa toka kwa majambazi, vibaka, wezi, waporaji, wavuta bange, walevi, mashoga/wasagaji, wa chadema.
 
Tusubiri tu...taarifa tutazipata mda si mrefu maana maelezo aloyatoa Jana chagonja sidhani kama yatapita bure..!!
 
wananchi wanapata madhara makubwa toka kwa majambazi, vibaka, wezi, waporaji, wavuta bange, walevi, mashoga/wasagaji, wa chadema.

Mbona hizi sifa zote ulizotaja ni za vijana wa ccm wanaotusumbua wananchi
 
nimeandika upuuzi, nawe umesoma upuuzi, nani mpuuzi zaidi?

Aliyeandika ni mpuuzi,na kwa yule atakayesoma akagundua kilichoandikwa ni upuuzi basi huyo ni mjanja mara 800,ila kama ukikubaliana na upuuzi basi unakuwa mpuuzi kuliko aliyeandika mara 1000000
 
Aliyeandika ni mpuuzi,na kwa yule atakayesoma akagundua kilichoandikwa ni upuuzi basi huyo ni mjanja mara 800,ila kama ukikubaliana na upuuzi basi unakuwa mpuuzi kuliko aliyeandika mara 1000000

wewe uliyesoma ndo mpuuzi namba moja.
 
Kwanimume wenu mwigulu anapokwendaga kufanya ugaid ndago huwa mnamfuata kufanya mini.
 
Kawaambie magamba wenzio si makamanda wa ukombozi.CHADEMA twendeni central police kumsindikiza kamanda wetu wa anga.

Mbowe akifika pale, atawekwe kwenye chumba chenye ulinzi wakati anahojiwa. Ninyi wengine mtaambiwa mtawanyike, mkikaidi, virungu pamoja na visu na bisibisi zenu! Tena makruta hawajafanya practical. Ya kuambiwa....., changanya na yako!
 
Back
Top Bottom