Unaamini damu yako inavinasaba vya adam na hawa?Uzao wa adam na HAWA haukuwa wa kawaida kama sasa hivi.
adam alikuwa anatembeza mashine usiku na mchana.na mama hawa alikuwa anazaa nwendo wa mapacha mapacha.
mimi na wewe tusingeweza kuijaza dunia.
Ambao hao wanawake walikuwa wa uzao upi? Na nikukumbushe mungu alimwekea alama kaini ili kila atakapo enda mataifa wamjue na wasichangamane maeMbona hili swali Lina majibu rahisi tu kutoka kwenye biblia? Soma biblia Kuna mifano mingi kuonesha idadi ya watu.
Mfano Yesu alipolisha mikate watu elfu tano, biblia inasema watu elfu tano kuacha wanawake na watoto. Kumbe yawezekana wanawake na watoto walikuwa wengi kuliko " WATU ELFU TANO".
Maana Yake wanawake walikuwa hawahesabiwi ndo maana hatujui huko Kaini alikooa kulikuwa na wanawake wangapi.
Unaamini damu yako inavinasaba vya adam na hawa?
Wht happened then tukawa hivi tulivyo wakati kwa asili tunaamini ya kwamba afamu hakuwa kama sisi.Ndio kwa sababu mimi ni mtoto wa ADAM.
binadamu ni neno la kiarabu.
BIN-ADAM
YAANI MTOTO WA ADAM.
Kwa hyo kila binadamu ni mtoto wa adam.
Wht happened then tukawa hivi tulivyo wakati kwa asili tunaamini ya kwamba afamu hakuwa kama sisi.
Bustani ya edeni ilikuwa wapi?
Eden ilikua pepon?? Si kweliAdam aliumbwa kutokana na udongo.
Baadae akapuliziwa roho.baada ya hapo akaumbwa hawa kwa ubavu wa kushoto wa adam.wakakaa sana peponi.mpaka shetani alipokuja kumdanganya hawa ili amshawishi adam wale tunda.ndipo mungu akawahukumu kwa kuwashusha hapa duniani kuishi.
Hapo ndipo walipoanza kuzaliana.
Kwa chimbuko la binadamu wote ni adam na hawa..
Eden ilikuwa peponi
Haya jibu niliyouliza sasa kwenye komenti yangu ilikuwaje weae uwe na nyewel kipilipili huku wengine wakiwa vile walivyo ngozi n.kAdam aliumbwa kutokana na udongo.
Baadae akapuliziwa roho.baada ya hapo akaumbwa hawa kwa ubavu wa kushoto wa adam.wakakaa sana peponi.mpaka shetani alipokuja kumdanganya hawa ili amshawishi adam wale tunda.ndipo mungu akawahukumu kwa kuwashusha hapa duniani kuishi.
Hapo ndipo walipoanza kuzaliana.
Kwa chimbuko la binadamu wote ni adam na hawa..
Eden ilikuwa peponi
Eden ilikua pepon?? Si kweli
Haya jibu niliyouliza sasa kwenye komenti yangu ilikuwaje weae uwe na nyewel kipilipili huku wengine wakiwa vile walivyo ngozi n.k
Hapo anasema adam aliishi miaka 800,sasa kwa miaka hiyo anashindwa vipi kuzaa watoto hata 100??..Unataka kusema adam pamoja na kuwa na mke aliyepewa na bwana bado alilala na binti zake? Maana fumbo moja kutoa watoto63 si mchezo
Pre-enlightenment period, laiti tungesoma kiswahili mpaka elimu ya juu, tungekuwa na ma-genius wengi sana. Wazungu nyoko na vibaraka wao weusiWaandikaji waliandika enzi za ujinga ndio maana leo unasoma mstari kwenye Biblia mpaka unajikuta unacheka mwenyewe
Dhambi ni nini kwa lugha rahisi kabisa yenye mantiki? Dhambi kiasi mpaka hata mtu anafikisha umri wa miaka 60 kiuno kama kimwekwa super glue, miguu utazani imegongwa na nyundo? Enzi za Nabii Ibrahimu naona mzee ana miaka 100+ na anapiga mzigo kama 20s fulani hivi.Nadhani ni dhambi
View attachment 1733966View attachment 1733967View attachment 1733968View attachment 1733969Leta ushahidi kutoka kwenye vyanzo vya dini