Sawa ShemasiAdam aliishi miaka 930,sasa ukiangalia hiyo miaka jiulize mtu huyo akiamua kuzaa anaweza zaa watoto wangapi? Na enzi hizo hakukua na hizi mambo za kulea kwa gharama kubwa sana.
Kiasili kabisa mtoto wa kiume alikua anapewa kipaumbele tangu mwanzo na inawezekana adam alikua na watoto wengine wa kike ambao hawajatajwa katika BIBLIA na ndio maana ukifatilia hata katika mila za kiafrika hasa haoa tz kwa makabila mengi wanawake walikuwa hawaruhusiwi kupata urithi wowote ule, so tangu awali wanawke hawakupewa priority sana.
Hata MUNGU mwenyewe sio muumini wa GENDER EQUALITY ingekuwa sivyo asingetangulia kumuumba adamu then hawa baadaye...... Haya mambo ni magumu kuelewa ila yanaeleweka
Mkuu kuna bibi mmoja huku kijijini kwetu alifikisha miaka 122Mungu Mwenyewe alipunguza umri wa mwanadamu, Kutoka hiyo miaka hadi Umri wa Mwisho kuwa miaka 120
Mwanzo 5-3.
Bwana akasema ,Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama,
basi siku zitakuwa miaka mia na ishirini.
Hapa haimaanishi ukigonga miaka 120 kamili unakata roho.Mkuu kuna bibi mmoja huku kijijini kwetu alifikisha miaka 122
Sawa chiefHapa haimaanishi ukigonga miaka 120 kamili unakata roho.
Huu ni wastani wa maisha ya kuishi wanadamu.
Yaani umejitahidi saana ndio utafika arround 120. Zaidi watu wanaishia chini ya hapo.
Wanaovuka ni mmoja mmoja mno na hawezi kuzalisha kama Binadamu anavyotakiwa kuwa.
Hapana hapa tunajadiliana tu.Sawa chief
😅 😅 😅 💥... Sasa fikiria Kaini labda alioa miaka 500 baada ya kumuua ndugu yake, si alikuta dunia imejaa vitukuu na vituu vya Adamu. Vingine ni vidangaji havijali kuwa wewe ni Kaini au umevipita miaka 460.
AhsanteKwa hapa naomba nieleze na mimi kwa upeo wangu kidogo; ukisoma kitabu cha Mwanzo 1:26-31 kuna fumbo pale ya kwamba, Mungu alimuumba Mtu yaani mwanamke na mwanamume kwa mfano wa sura yake na akawaamuru wakazaliane na kwenda kuijaza Dunia na akawapa mamlaka ya kuvitawala vyote alivyoviumba.
Ukisoma pia Mwanzo 2:7-8, utagundua ya kwamba, viumbe ambao aliwaumba Mungu kabla walikuwa sio viumbe wa kawaida na ndio maana hapa Mungu anasema, "akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai".
Ukisoma tena Mwanzo 2:18-24, utaona Mungu alivyo muumba mwanamke wa kufanana na Adam kupitia ubavu wake hivyo, katika yote ya yote hayo unapata kuelewa kuwa kulikuwa na uzao mwengine wa Adam ambao ulikuwepo kabla ya kuzaliwa kwa Kaini, Abel na Sethi ambao ulikuwa ni kizazi cha Adam lakini ni kwa mwanamke tofauti na Hawa. Hapa ndipo unapata kufahamu uwepo wa Lilith katika uumbaji wa Mungu, ambaye alizaa na Adam majitu katika nchi nyingine. Kutokana na kwamba Lilith hakupenda kutawaliwa, basi ndio maana Mungu akaamua kumuumba Mwanamke (Hawa) katika ubavu wake iliaweze kufanana nayeye.
Asante!!..
Mkuu kwaiyo hata Mungu ni hadithi tu?Ukielewa kwamba hizi ni hadithi walijiandikia tu watu, hayo mengine hayakusumbui akili.
How to Read the Bible | James Kugel
In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the "quiet revolution" of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today's researchers differ from what people have always thought. The story of...www.jameskugel.com
How to Read the Bible
A Guide to Scripture, Then and Now
READ AN EXCERPT
Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?
In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought. The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea. Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.
Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths. Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.
How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.
Hata Mungu ni hadithi tu, angekuwapo kweli, usingeuliza kama Mungu ni hadithi tu.Mkuu kwaiyo hata Mungu ni hadithi tu?
Dhana ya kuwapo Mungu, hususan Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote, imeoneshwa kuwa na contradictions nyingi za kimantiki zinazoonesha Mungu huyo hayupo.Aisee!
Vipi kuhusu stori ya Yesu?Dhana ya kuwapo Mungu, hususan Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote, imeoneshwa kuwa na contradictions nyingi za kimantiki zinazoonesha Mungu huyo hayupo.
Ni tungo za watu tu katika kujaribu kupambana na maisha yao.
Contradiction moja kubwa inaitwa "the problem of evil".
Ukiifuatilia hii kwa makini, kwa kutumia mantiki, bila woga wala "cognitive dissonance" za dini, utaona kabisa Mungu ni tungo ya watu tu.
Tena tungo ya zama za giza kama alivyosema mkuu mmoja hapo juu.
Ukimsoma huyo James Kugel Profesa wa Biblia aliyefundisha Harvard nimeweka link yaje hapo juu, ameeleza jinsi gani Biblia imefutwa futwa na kubadilishwa badilishwa mara nyingi sana, na hata mwanzo wake si kamq unavyofikiriwa.
Kifupi, kisayansi, kihistoria, watu walikuwepo zamani sana huku Africa kabla hawajafika huko Middle East. Story ya Adam ni ya kutungwa tu na haihusiani na uumbaji wa mtu wa kwanza, inahusiana na jinsi watu walivyoanza kuishi kijamaa na kulima.
Kwa hiyo, huyo Adam si mtu wa kwanza, hiyo story imetungwa, na Biblia ina habari za kuungaunga kibao kazieleza huyo Profesa.
Na vitabu vingine kama Qurqn nqvyo viko hivyo hivyo.
Ila, watu wamekariri tu kuja Mungu, na hivi ndivyo vitabu vyake.
Maisha yanaendelea.
Stori ya Yesu imefanya nini mkuu?Vipi kuhusu stori ya Yesu?
Inawezekana lakini mara nyingi watu huwa hawazidi umri wa Mungu ambao ni miaka 120Mkuu kuna bibi mmoja huku kijijini kwetu alifikisha miaka 122