Kaimu Jaji Mkuu wa TZ, pole Prof.

Kaimu Jaji Mkuu wa TZ, pole Prof.

Odinga alijipanga vizuri,
Kukusanya formu za matokeo na kuwa na evidence documents siyo kazi ndogo.
Watanzania tatizo siyo tume,
Wasimamizi wengi wa uchaguzi vituoni,huwa hawako serious na mambo ya msingi ya nayo weza kuthibitika.
Nafikiri tukubari kiwango chetu cha Elimu ni tatizo la msingi.

Mahakama haiwezi kukataa ushahidi ulioshiba na vielelezo........
Acheni kuwasema sana majaji wetu kwani bado hatujawajaribu na kesi zenye vielelezo......
Mbona ubunge wanatengua?
Kwani Kenya umetenguliwa wa Ubunge? Je Sheria inaruhusu kufungua hiyo kesi kama ya Kenya kwa Urais hata kama una vielelezo? Ulikua umezaliwa wakat Amaan Karume alivyoharakishwa kuapishwa? Hata Kenya ilitokea kwa Kibaki ndio wakastuka hii Sheria inayoruhusu kuapishwa haraka then Huna mamlaka ya kuhoji sio nzuri! Kwa aina ya Watanzania kama wewe tutaendelea kushangilia wenzetu na kupenda watu au vyama kuliko nchi
 
Pole sana Prof. Ibrahim Juma kwa kukubali Mahakama yako ichezewe chezewe ...hivi ukikaa na Jaji Maranga wa Kenya unajisikiaje? Hivi kweli wajisikia na wewe ni Jaji Mkuu? Pole sana kwa kukubali kuchezewa, kwa kukubali kuwa mwanasesere, kwa kukubali kuwa mshangiliaji..

Najua huwezi kutenda haki kwa kesi za Magufuli dhidi ya raia wengine wanyonge wanaoonewa na Ma-DC, ma-RC wakiongozwa na boss wao...basi ungechukua tu hata hatua ya kujiuzulu usikubali kugeuzwa mwanasesere shehe...i mean profesa!
Ukipata kufanya kazi kwa zaidi ya mwaka bila kuajiriwa,na huoneshi kudai haki yako ya kuajiriwa wewe ni BOGUS
 
Jamani mhurumieni JJ means JAJI JUMA

May Allah bless Me and You
 
Chagademus mmeshabadili gia kama kawaida yenu, mwanzo mlimpongeza Uhuru kwa ushindi na kipenzi chenu EL alijipeleka kushiriki kampeni. Pili mlimuita Uhuru ni Baba Wa DOMOKRASIA lakini leo mahakama imemuona ni MWIZIKRASIA. Sasa baada ya kuona mmeumbuka ndani ya muda mfupi mmeanza kusifia na kupongeza Mahakimu lakini wakati Aliyefungua kesi Raila Odinga mnamruka kama kinyesi sababu tu ni swahiba wa kitambo na JPM ambaye mnakesha kumpinga hadhari wakati ndani ya Mioyoni yenu mnamkubali. Hahaahaahaaa
Pole sana, Ni uhuru na haki yako kumshangilia Odinga, lakini baada ya hapo, watakiwa kuangalia maswala ya msingi zaidi.
Kama katiba ya Kenya ingekuwa mbofumbofu kama ya kwetu, hata hiyo kesi ya kupinga matokeo isingekuwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyeanzisha uzi achunguzwe, inawezekana anahusika kuchoma ofisi za Wakili Fatma
 
Kesi zenye kuhusu mambo ya siasa moja kwa moja huwa haziamuliwi kwa faida ya watanzania hata siku moja. Nakumbuka wakati fulani Mtikila alikuwa anapinga uchaguzi wa Ludewa kufanyika hukumu ilitolewa Ijumaa jioni na uchaguzi unafanyika Jumapili. Unapotoa hukumu kama hiyo lengo lako ni nini hasa?

Kesi ya Mtikila ya Mgombea binafsi unakumbuka maamuzi yalikuwaje? Kesi ya kenya inahusu masuala ya katiba na mahakama yetu kwenye mambo yanayohusu Katiba ni dhaifu sana kiasi kwamba si ya kutegemewa hata siku moja.

Unajitahidi sana kumuelewesha lakini sina imani kama atakuelewa unacho maanisha Mkuu ,mimi niseme tu tofauti yetu na Kenya ni kwenye Katiba ambapo mfumo wa upatikanaji wa hawa Majaji ni tofauti kabisa.Hapa kwetu Boss wao ni huyu Bwana Mkubwa kwenye jumba jeupe wakati Kenya hali ni tofauti..

Mfumo wetu unatoa mwanya sana kwa Wanasiasa kuingilia utendaji kazi wa Taasisi zetu ,Wakuu wengi wa Taasisi za Serikali kuteuliwa na Mtu mmoja ni jambo la hatari kama alie juu atautumia Ukuu (Madaraka) wake vibaya ..Pia aina ya Wananchi wa Tanzania tulio nao ni kichocheo kikubwa kwa hawa Watawala kufanya wanavyo taka wao..
 
Uhalisia gani unaoutaka, huoni kageuzwa mwanasesere? Jaji gani anaelekezwa cha kufanya na muhimili mwingine? Mpaka anaagizwa kuhamisha mahakimu bado amekaa kwenye kiti hicho anasubiri nini?

Tena kwa level za Watu kama Majaji bado wanapangiwa na Wanasiasa ?..

Elimu yao yote na weledi wao wote wanaotakiwa kuwa nao wanaufyata mbele ya Wanasiasa Uchwar
 
Sina chama ila sipendi uongo ukishamiri.

Jei-piem hakumpongeza UHURU? Naye unalisemea vipi?

Wakati mwingine msinywe gongo na sambusa, havisaidii!
Alimpongeza sababu ni Rais mwenzake na wapo Jumuiya ya Africa Mashariki ni lazima watashirikia kwa ajili ya hiyo jumuiya.
Kumbuka siyo kila pongezi inamaanisha.
Sasa kama hutaki ninywe Gongo unataka ninywe Castle Lite?
Efu yuu.....
 
Mahakama imesema uchaguzi haukuwa huru na haki sio Uhuru aliiba kura na madhaifu mengi yameonekana kwa tume ya uchaguzi na sio kwa mgombea Uhuru .Mimi nadhani ifikie pahala muwe mnajitahidi kuelewa msiendeshwe kwa mihemuko ya kisisiemu.Kenya wamebatilisha uchaguzi ila Zanzibar mlifuta uchaguzi ona mlivyo na laana enyi chama cha makinikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kesi alifungua Uhuru? Au naye aliridhika na mazaifu yaliyojitokeza au alijisahaulisha matatizo?
 
Pole sana Prof. Ibrahim Juma kwa kukubali Mahakama yako ichezewe chezewe ...hivi ukikaa na Jaji Maranga wa Kenya unajisikiaje? Hivi kweli wajisikia na wewe ni Jaji Mkuu? Pole sana kwa kukubali kuchezewa, kwa kukubali kuwa mwanasesere, kwa kukubali kuwa mshangiliaji..

Najua huwezi kutenda haki kwa kesi za Magufuli dhidi ya raia wengine wanyonge wanaoonewa na Ma-DC, ma-RC wakiongozwa na boss wao...basi ungechukua tu hata hatua ya kujiuzulu usikubali kugeuzwa mwanasesere shehe...i mean profesa!
Huyo nae ni kada anakaratasi ya kijani hom kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Odinga alijipanga vizuri,
Kukusanya formu za matokeo na kuwa na evidence documents siyo kazi ndogo.
Watanzania tatizo siyo tume,
Wasimamizi wengi wa uchaguzi vituoni,huwa hawako serious na mambo ya msingi ya nayo weza kuthibitika.
Nafikiri tukubari kiwango chetu cha Elimu ni tatizo la msingi.

Mahakama haiwezi kukataa ushahidi ulioshiba na vielelezo........
Acheni kuwasema sana majaji wetu kwani bado hatujawajaribu na kesi zenye vielelezo......
Mbona ubunge wanatengua?
Sasa katiba inasema hakuna kuhoji matokeo ya kura za urais, sasa uakusanya evidence zanini?
 
Maprofesa wengi Tanzania ni kama vile haziwatoshi
 
Ukada wake unatakiwa kubaki ktk Familia yake Mluu ,anatakiwa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa utaratibu na kanuni zilizopo..Asichanganye mambo ya Nchi na Chama ...
Huo uwezo hana mana anamtiii aliempa kazi,ndio mana umeona dharau za tanroad huko kimara kudharau mahakama ....awamu hii sizonje ndio kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusimumunye maneno,UONGOZI wa Tanzania ni wa kipumbavu,na huo upambavu umesababishwa na hawa hawa watanzania kwa kuulea huu ujinga wa viongozi.
 
Back
Top Bottom