Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,442
- 4,389
Pole sana Prof. Ibrahim Juma kwa kukubali Mahakama yako ichezewe chezewe ...hivi ukikaa na Jaji Maranga wa Kenya unajisikiaje? Hivi kweli wajisikia na wewe ni Jaji Mkuu? Pole sana kwa kukubali kuchezewa, kwa kukubali kuwa mwanasesere, kwa kukubali kuwa mshangiliaji..
Najua huwezi kutenda haki kwa kesi za Magufuli dhidi ya raia wengine wanyonge wanaoonewa na Ma-DC, ma-RC wakiongozwa na boss wao...basi ungechukua tu hata hatua ya kujiuzulu usikubali kugeuzwa mwanasesere shehe...i mean profesa!
Najua huwezi kutenda haki kwa kesi za Magufuli dhidi ya raia wengine wanyonge wanaoonewa na Ma-DC, ma-RC wakiongozwa na boss wao...basi ungechukua tu hata hatua ya kujiuzulu usikubali kugeuzwa mwanasesere shehe...i mean profesa!