Mambo ni moto 👇👇👇👇 huu mradi utahudumia kuanzia UBARUKU ,wangingombe na makambako moja ya miradi mikubwa nyanda za juu kUsini ukiongozwa na wa kiwira 👇👇👇👇👇Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri akikagua maenndeleo ya Mradi wa maji wa miji 28 katika mji wa Makambako, eneo la ujenzi wa tanki kubwa la kuhifadhi maji yatakayowahudumia wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.