Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,074
- 5,913
Nipo Arusha mwaka wa nne huu, hakuna kipya huku, Arusha size yao ChatoMmepigwa KO na Arusha kule kwenye Ligi yenu mnakuja kujifariji huku..Mkuu unanichafulia uzi,wewe leta picha za Kahama hapa .
Nipo Arusha mwaka wa nne huu, hakuna kipya huku, Arusha size yao ChatoMmepigwa KO na Arusha kule kwenye Ligi yenu mnakuja kujifariji huku..Mkuu unanichafulia uzi,wewe leta picha za Kahama hapa .
jengo la umoja wa posta sio kipya?Nipo Arusha mwaka wa nne huu, hakuna kipya huku, Arusha size yao Chato
Renders za uhakika sio za kwenye makaratazi izo,Renders kila sehemu zipo,cha ajabu Lake zone yote inategemea mwanza tuu iwatoe kimasomaso,the rest ni takataka towns tofauti kabisa na S/Highlands zone ambako kila mji ni mkubwa
jengo la umoja wa posta sio kipya?
mko wengi sana huku ni manamba wa mashamba ya chai na miti..Sisi ni wachapa kazi ndio wanunuzi wa dhahabu zenu mlizosotea mashimoni miaka na miaka maana tuna pesa za mbaoView attachment 1430417
Mwambie Mjomba wako Kahama hawapokei wakimbizi, huwezi sikia mtu anatoka Kahama kwenda Njombe kutafuta maisha.
rendrs ni sawasawa na nyumba yako ya kwenye makaratasi,wapi picha za kahama?Renders za uhakika sio za kwenye makaratazi izo,
Miji yote ina UKIMWI wa hatari
Nnnnnnnnmmwa.....Kwa Njombe katika kilimo kuna fursa kubwa sana
wamepoteana vibaya sana...afu mwaka huu Njombe imekusanya mapata around 5bln yaani bado 1 bln kuivuka Kajamaa na isingekuwa covid kutatiza sok la green gold avocado tungepiga knock out moja matata sana,taarifa rasmi itatolewa na waziri mhusika wakimaliza reconcilliationJaman wale wa kajamaa wapo?
Amazing and greenish,kuona mandhari na magorofa kama hayo huko kajamaa town ni kama kutafuta kaka kuona mjiniwale wenzetu wa kahama mpo hii ndio Njombe sio mahali pengine
hawarudi haowamepoteana vibaya sana...afu mwaka huu Njombe imekusanya mapata around 5bln yaani bado 1 bln kuivuka Kajamaa na isingekuwa covid kutatiza sok la green gold avocado tungepiga knock out moja matata sana,taarifa rasmi itatolewa na waziri mhusika wakimaliza reconcilliatHawarudi hao
Hizo barabara hapo juu section ya Kahama barabara za mikoa za kujaribu kuipush Kahama isizidi Kusinyaa wakati kwa section ya Njombe hizo zote ni barabara kuu(trunk roads) za kuinganisha na mikoa mingine isipokuwa hiyo ya Njombe-Iyayi na Makete-Makete-Isyonje/Mbeya,,hizo za sections za Njombe-moronga na Moronga-Makete zimekamilika tena kwa asphalt standard sio kwa surfae dressing kama za huko Kajamaa.PUT YOUR MONEY WHERE YOUR MOUTH IS
Kwa mujibu wa Ilani ya Chama tawala 2020-2025, miradi mikubwa ya barabara na reli........kati ya WILAYA ya KAHAMA na MKOA wa Njombe
KAHAMA WILAYA (JUMLA Kilomita 1003.31 za lami)
Geita – Bukoli – Kahama (km 107);
Tabora – Mambali – Bukene – Itobo – Kahama (km 149);
Mwanangwa – Misasi – Salawe – Kahama (km 149);
Mpanda - Ugala - Kaliua - Ulyankulu - Kahama (km 428);
Kahama – Nyamilangano – Uyogo (km 54);
Mambali – Bukumbi - Ishilimulwa – Shitage– Kahama (105km)
Kagongwa – Bukooba (Kahama) - (km 11.31)
Miradi ya Reli (Hii haihusishi reli ya kutoka Isaka - Kigali kilomita 356)
Ujenzi wa reli ya Standard Gauge kutoka Tabora – Isaka (KAHAMA) (km 130), Isaka (KAHAMA) – Mwanza (km 250);
NJOMBE MKOA (JUMLA Kilomita 479.55 za lami)
Njombe (Kibena) – Lupembe – Madeke (Mfuji);
Morogoro/Njombe Border (km 125);
Njombe – Ndulamo – Makete;
Sehemu ya Njombe – Moronga (km 22.9);
Sehemu ya Moronga – Makete (km 37.65);
Njombe (Ramadhani) – Iyayi (km 74);
Ifakara – Mlimba – Njombe (km 220)
Hatuwekezi trillions za watanzania kwenye uchumi wa parachichi.Hizo barabara hapo juu section ya Kahama barabara za mikoa za kujaribu kuipush Kahama isizidi Kusinyaa wakati kwa section ya Njombe hizo zote ni barabara kuu(trunk roads) za kuinganisha na mikoa mingine isipokuwa hiyo ya Njombe-Iyayi na Makete-Makete-Isyonje/Mbeya,,hizo za sections za Njombe-moronga na Moronga-Makete zimekamilika tena kwa asphalt standard sio kwa surfae dressing kama za huko Kajamaa.
Kuna barabara nyingi ambazo zinaendelea kujengwa na zimetajwa kwenye ilani hujaziweka kwa mfano Itoni/Njombe-Ludewa-Manda iko inajengwa tena kwa zege umbali wa km 100,,pia hujaiweka barabara ya Manda-Mbamba bay Ruvuma,Ludewa-Madaba/Songea na pia hujaweka ukarabati wa barabara kuu ya Makambako-Njombe-Songea,zote hizi ziko kwenye ilani ila unajifanya hujaziona.
Kuhusu reli naomba ieleweke kwamba Isaka sio kahama halikadhalika sgr ya Mtwara-mbambabay itakuwa na matawi mchuchuma na liganga,sio Njombe mjini ila ni mkoa wa Njombe kama tu ambavyo Tazara inapita Makambako ndani ya Njombe..Hoja yangu hapa ni kwamba hakuna haja ya kuiweka isaka maana sio Kahama hata kama iko ndani ya Wilaya ya Kahama.Mkuu kiufupi ni safe kuwekeza Njombe kuliko Kahama maana wenzio huku kila kona ya hizo roads hapo juu zinafungua fursa kubwa ya mazao ya matunda/parachichi,nafaka na bidhaa za miti.