PUT YOUR MONEY WHERE YOUR MOUTH IS
Kwa mujibu wa Ilani ya Chama tawala
2020-2025, miradi mikubwa ya barabara na reli........kati ya
WILAYA ya KAHAMA na
MKOA wa Njombe
KAHAMA WILAYA (JUMLA Kilomita 1003.31 za lami)
Geita – Bukoli – Kahama (km 107);
Tabora – Mambali – Bukene – Itobo – Kahama (km 149);
Mwanangwa – Misasi – Salawe – Kahama (km 149);
Mpanda - Ugala - Kaliua - Ulyankulu - Kahama (km 428);
Kahama – Nyamilangano – Uyogo (km 54);
Mambali – Bukumbi - Ishilimulwa – Shitage– Kahama (105km)
Kagongwa – Bukooba (Kahama) - (km 11.31)
Miradi ya Reli (Hii haihusishi reli ya kutoka Isaka - Kigali kilomita 356)
Ujenzi wa reli ya Standard Gauge kutoka Tabora – Isaka (KAHAMA) (km 130), Isaka (KAHAMA) – Mwanza (km 250);
NJOMBE MKOA (JUMLA Kilomita 479.55 za lami)
Njombe (Kibena) – Lupembe – Madeke (Mfuji);
Morogoro/Njombe Border (km 125);
Njombe – Ndulamo – Makete;
Sehemu ya Njombe – Moronga (km 22.9);
Sehemu ya Moronga – Makete (km 37.65);
Njombe (Ramadhani) – Iyayi (km 74);
Ifakara – Mlimba – Njombe (km 220)