Ndio wamejaa ubishi wa kijinga huku hawana Kila kitu,, lake ni nchi kabisa inakila kitu lakin kusini wakiunda nchi Yao lazima wafe pimbi hao maendeleo watayaskia tu
Makampuni kutoka Kila Kona ya Dunia Yana miminika mkoa wa njombe kununua parachichi mkoa unazidi kufunguka kimataifa zaidi sio level za shinyanga kwa wachunga ngombe mkoa uliodumaa mkoa wa njombe watu wanapesa balaa