Hapo unaona kumbe ni ghorofa ila ndo hivo kusini vigorofa uchwara huko ni taasisi au shirika au kampuni ila huku ni magodauni na nyumba za kuishi na tunaona kawaida kabisa
Hapo unaona kumbe ni ghorofa ila ndo hivo kusini vigorofa uchwara huko ni taasisi au shirika au kampuni ila huku ni magodauni na nyumba za kuishi na tunaona kawaida kabisa
Sasa mbona hospitali kama shule ya msingi inazidiwa na ihungo sekondar ya bukoba halafu wanaezekea turubai jamani mbna wanawafanyia hivo sjapenda pimbi nyie amken kataen laan