Usiongee kama hujabalehe au wew sio mwanaume wenzio wanashindana kwa fursa zilizpo kwenye miji wew unaleta hbr za nyumba dah yan hata kubishana na wew ni kupoteza muda
Fursa Gani ziko huko kupita Kanda ya ziwa? Ewe pimbi
Cheki wenzako wanavolalama
mawardat
mawardat
JF-Expert Member
March 11.2023
Add bookmark
#70
Watu wa Dar na Mwanza bana,mnavyoina songea binafsi na mie ninavyoiona hii mikoa ilivyo haina maajabu
Dar. Kuchafu jiji linanuka kuna kila aina ya uchafu,
Ili uweze kushindanisha lzma ufananishe kwa nyanja zote kuanzia kiuchumi na kijamii ndo utapata jibu ila kwakuwa kupost nyumba hapo cwez kushindana na wew unaonea huna akili na hujakuwa na hujui maana ya kulinganisha miji
Tufananishe kama unaweza maana kimajengo ya hadhi ad vijijini tuko mbele fursa za Biashara ndo usiseme, Bandari kavu ipo,tren ipo na nyingine inajengwa SGR,mbuga za wanyama ndo usiseme, kuhusu suala la mboga ndo mahala pake
Sio kuambiwa mm njombe mwenyeji ila sana mbeya naijua nje ndani Jiji la bajaji ndo usafiri mkuu halafu ukijifanya kupenda maendeleo wanakuloga pia wanachuna ngozi but still ni masikin maana SONHEA haiwezi bato na MASWA