ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
- Thread starter
-
- #13,641
😁😁😁😁😝😝😝 Sensa imeumbua wazee wa misifa na wale walevi wa mbege 🤪🤪Akili huna....kati ya hizo 21 hospital 18 ni za binafsi...wahaya wanalaumiwaje...
Mnanishangaza kulaumu makabila kwenye suala la maendeleo ya umma...hiyo ni sign ya kujefeel inferior mbele ya kabila.
Kwan huko Ruvuma hospital zimejengwa na wangoni...
Halafu hospital zinajengwa kulingana na uhitaji
Kwhy bukoba ndo mjini hapo na hilo kanisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hebu leta jiji lako la Mbeya ulinganishe na hapa...
Unafikiri daladala ndo mji kuendelea...nenda kisumu hapo...mji una bodaboda tu wala hauna daladala lakin maendeleo Arusha ikasome....
Mbeya yenyew Mbona kuna bajaji nyingi kuliko watu...
Bukoba municipality ....View attachment 2547278View attachment 2547279View attachment 2547280View attachment 2547281View attachment 2547282View attachment 2547283View attachment 2547284View attachment 2547285View attachment 2547286View attachment 2547287
Ila Kanda ya Ziwa Kuna Vituko,eti hapa ndio Musoma na ni Manispaa 😁😁😁Kwhy bukoba ndo mjini hapo na hilo kanisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bado mpo matakon tuMmeshikilia kwenye report za miaka ya 2000, leta report mpya ya 2022 uone kanda ya ziwa ilivyowapelekea moto
Mkoa wa mara ndo mkoa ambao kuona mtu anampga mtu panga ni rahisi kuliko kuona gari imepita mji umepoa huo nIla Kanda ya Ziwa Kuna Vituko,eti hapa ndio Musoma na ni Manispaa 😁😁😁
Mafinga is way better than this shithole town
Iko wapi? Huto tu hospital unamlingishia nani?
Makelele yote ya Wahaya mnazidiwa hata na Ruvuma Ijue Mikoa 12 yenye Idadi kubwa ya vituo vya kutolea Huduma za Afyahadi njombe imewa zaidi shinyanga ndo imerupwa mbaliiView attachment 2547381
Mkoa wa shinyanga kweli upo nyuma Sana kimaendeleo njombe imewaacha mbali mno haloo umaskini unawatesa Sana mkoa wenye miaka kumi hospital 22 shinyanga 15 gap ni 7 mnakazi njombe ipo moto sana ikonda hospital
Bado mpo matakon tuView attachment 2547455
Hizo swaga TU lakin ukweli uko wazi nasisi tunapiga sana KAZI kuliko nyie pimbi wasukuma tunapenda ufahar tunajenga bonge la nyumba halafu tunatunzia dagaa wakat hyo nyumba kwenu mnafanya sehemu ya kuipigia PICHA na kuvimba mtandaoniBado mpo matakon tuView attachment 2547455