KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Kumbe ukweli anaujua...
Kagera pamoja na kuwa na GDP per Capita ndogo kadri ya BOT...lakin ni mpaka mmoja tu wa huko kyerwa hauna lami...
Na wilaya zote zimeunganishwa na lami. Na sasa Hadi baadhi ya vijiji potential vinaunganishwa na lami.
Uwanja wa ndege uko busy
Meli ya mv Victoria inafanya kazi na imekarabatiwa....na Kuna mpya inajengwa.
Bandari zote zimekarabatiwa bukoba na kemondo...
Wakazi wake wanajenga nyumba Bora vijijini.
Halafu mtu anasema Ruvuma sijui njombe wakati Bado umaskini umetamalaki
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Thanks Quote ReplyReport
Malila
JF-Expert Member
Feb 7, 2023
Add bookmark
#63
kumusoma said:
Ndugu jaribu kuandika ,ukweli.Njombe Ni sehemu ambayo JPM aliitengeneza vizuri Sana.NimekaaNjombe miaka mitano.Kuna soko kubwa zuri Sana.Walijengewa barabara ya lami kutoka Njombe mpaka Makete.Ludewa ,walijengewa barabara ya lami na zege.Jaribuni kutembea kabla hamjaandika.Wabena na wakinga wanamkumbuka Sana JPM.Labda Samia ndio hajafika huko.
Click to expand...Kwenda Makete kuna lami ni kweli, ila kwenda Ludewa, mziki bado sana mkuu. Wameruka ruka sana. Ila barabara toka Mbinga kwenda Mbamba Bay imejengwa vizuri, hapa tuwe wakweli, kazi imefanyika hasa.
Thanks Quote ReplyReport
First
Prev
4 of 4
Write your reply...
Post reply
Attach files
Similar Discussions
CHADEMA inakubalika zaidi Nyanda za Juu Kusini lakini Viongozi wao wanapenda zaidi Mwanza!
Started by johnthebaptist Jan 17, 2023 Replies: 103
Jukwaa la Siasa
NetMaster
Licha ya Wanyakyusa kuwa juu kwa muda mrefu kwa mikoa ya nyanda za juu kusini kielimu, kisiasa, vyeo vya juu, n.k kwanini uraisi hawusogelei ?
Started by NetMaster Jan 19, 2023 Replies: 14
Jukwaa la Siasa
Hotuba ya Rais Samia mkoani Mbeya imeibua shangwe na nderemo Nyanda za Juu Kusini
Started by Lucas mwashambwa Aug 8,3 2023 Replies: 37
Jukwaa la Siasa
masopakyindi
Wananchi wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini tunakupongeza Rais Samia, ziara ya Rais kama hii haijawahi tokea toka uhuru
Started by masopakyindi Aug 13, 2022 Replies: 102
Jukwaa la Siasa
The Sunk Cost Fallacy
Kwa mara nyingine Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Kanda ya Kusini zimetengwa kwenye ufadhili wa masomo ya ubobezi wa kitabibu
Started by The Sunk Cost Fallacy Oct 29, 2022 Replies: 36
Habari na Hoja mchanganyiko
Share:
Facebook
Twitter
Reddit
WhatsApp
Email
Link
Jukwaa la Siasa
Contact us Terms Privacy Policy Help
5 Reactions
Reply
Google Translate
Original text
Contribute a better translation
Kagera pamoja na kuwa na GDP per Capita ndogo kadri ya BOT...lakin ni mpaka mmoja tu wa huko kyerwa hauna lami...
Na wilaya zote zimeunganishwa na lami. Na sasa Hadi baadhi ya vijiji potential vinaunganishwa na lami.
Uwanja wa ndege uko busy
Meli ya mv Victoria inafanya kazi na imekarabatiwa....na Kuna mpya inajengwa.
Bandari zote zimekarabatiwa bukoba na kemondo...
Wakazi wake wanajenga nyumba Bora vijijini.
Halafu mtu anasema Ruvuma sijui njombe wakati Bado umaskini umetamalaki
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Thanks Quote ReplyReport
Malila
JF-Expert Member
Feb 7, 2023
Add bookmark
#63
kumusoma said:
Ndugu jaribu kuandika ,ukweli.Njombe Ni sehemu ambayo JPM aliitengeneza vizuri Sana.NimekaaNjombe miaka mitano.Kuna soko kubwa zuri Sana.Walijengewa barabara ya lami kutoka Njombe mpaka Makete.Ludewa ,walijengewa barabara ya lami na zege.Jaribuni kutembea kabla hamjaandika.Wabena na wakinga wanamkumbuka Sana JPM.Labda Samia ndio hajafika huko.
Click to expand...Kwenda Makete kuna lami ni kweli, ila kwenda Ludewa, mziki bado sana mkuu. Wameruka ruka sana. Ila barabara toka Mbinga kwenda Mbamba Bay imejengwa vizuri, hapa tuwe wakweli, kazi imefanyika hasa.
Thanks Quote ReplyReport
First
Prev
4 of 4
Write your reply...
Post reply
Attach files
Similar Discussions
CHADEMA inakubalika zaidi Nyanda za Juu Kusini lakini Viongozi wao wanapenda zaidi Mwanza!
Started by johnthebaptist Jan 17, 2023 Replies: 103
Jukwaa la Siasa
NetMaster
Licha ya Wanyakyusa kuwa juu kwa muda mrefu kwa mikoa ya nyanda za juu kusini kielimu, kisiasa, vyeo vya juu, n.k kwanini uraisi hawusogelei ?
Started by NetMaster Jan 19, 2023 Replies: 14
Jukwaa la Siasa
Hotuba ya Rais Samia mkoani Mbeya imeibua shangwe na nderemo Nyanda za Juu Kusini
Started by Lucas mwashambwa Aug 8,3 2023 Replies: 37
Jukwaa la Siasa
masopakyindi
Wananchi wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini tunakupongeza Rais Samia, ziara ya Rais kama hii haijawahi tokea toka uhuru
Started by masopakyindi Aug 13, 2022 Replies: 102
Jukwaa la Siasa
The Sunk Cost Fallacy
Kwa mara nyingine Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Kanda ya Kusini zimetengwa kwenye ufadhili wa masomo ya ubobezi wa kitabibu
Started by The Sunk Cost Fallacy Oct 29, 2022 Replies: 36
Habari na Hoja mchanganyiko
Share:
Link
Jukwaa la Siasa
Contact us Terms Privacy Policy Help
5 Reactions
Reply
Google Translate
Original text
Contribute a better translation