Kwenye mabus .. Mwanza achana nayo kabisaYaani Scania zimewatoa makamasi Hadi sio poa
Ngoma hizi hapaView attachment 2524717View attachment 2524718View attachment 2524719View attachment 2524720View attachment 2524721
π₯π₯π₯Kwenye mabus .. Mwanza achana nayo kabisaView attachment 2524732View attachment 2524733View attachment 2524734View attachment 2524735
Sent using Jamii Forums mobile app
Adabu gani? Hakunaga new buildings huko naona picha ni zile zile Toka thread imeanzaKahama, please kuweni na adabu basi.
View attachment 2506011View attachment 2506012View attachment 2506013View attachment 2506015View attachment 2506016
Safi sana naona Sasa hakuna Giza
Ujenzi wa Barabara za lami ukiendelea mitaani Mbeya,huku ni Mwakibete
Bado sana kufikia level za MbeyaVIP Mpya ..
Arusha to Mwanza View attachment 2525824View attachment 2525825View attachment 2525826
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mazingira mbn ni ya kijijini sio mbeya JijiUjenzi wa Barabara za lami ukiendelea mitaani Mbeya,huku ni Mwakibete View attachment 2525827
Vaa miwani,hapo ni pale kwenye daraja la Mwasanga kata ya Mwakibete,ni pembezoni mwa Jiji.Hayo mazingira mbn ni ya kijijini sio mbeya Jiji
Pembezoni mwa Jiji ndo Kuna nyumba mbaya hvy kama ziziVaa miwani,hapo ni pale kwenye daraja la Mwasanga kata ya Mwakibete,ni pembezoni mwa Jiji.
π₯π₯π₯ Thanks for updates..Mkoa wa wenyepesa zao njombe mambo ni fire Kila konaView attachment 2526499View attachment 2526500View attachment 2526503View attachment 2526506View attachment 2526507
View attachment 2526487View attachment 2526488View attachment 2526489View attachment 2526490View attachment 2526491View attachment 2526493View attachment 2526494View attachment 2526495
nyie inaonekana hamjafika KAHAMA (JIJi la 7) mnadhanii hako kamjombe ndo kakulingana na kahama manispaaa ..Njombe inatoshana labda na tinde ,kagongwa au kakola halafu hapo kwenye mwanza na mbeya acheni ujinga nyie wambeya yaani mwanza jiji la 4 east africa ulinganishe na huo uchafu kwanza kwa kigezo gani yaan mnatumia ushahidi upi nyie acheni kujitoa ufahamu ..Narudi tena kwenu njombe..Njombe ni mji kahama ni manispaa hadi hapo mkubwa ashajulikana ..We huonagi hata hawa wasanii wakubwa tz ushawahi muona anakuja njombe alale wapi kwenye vibanda au..Lakn kahama kila mara utasikia wasaf haoo sababu wanajua ni sehemu yenye kila kitu wajinga nyieπ₯π₯π₯ Thanks for updates..
Harafu wanataka kile kijinga Chao kama gulio wanaita Kahama eti ishindane na Njombe.
Kichuguu na mlima ππ