Kahama VS Njombe/Mafinga

Hekta nyingi za kilimo Cha nini ...je hayo mazao value yake ikoje ,,... hekta 20 za mahindi ni sawa na hekta 5 za ufuta ,au hekta 10 za pamba .....acha kuropoka kijana
Wapi walipokuambia wanalima mahindi? Acha uzwazwa wewe,humor yanalimwa mazao ya kimkakati tuu kama alizeti,ngano,soya.
 
Eti mazao ya kimkakati...mbona kigoma huisemi yenye hekta 860000 ....
GDP inaangalia value na sio quantity..take care brother
Hayo mashamba yanaratibiwa na Wizara ya Kilimo Moja kwa Moja so humo ndani hakuna quantity tuu bali quality pia..

Kigoma&Mbeya ndio watanufaika na GDP kubwa kuongezeka..

Mengine ni wivu unakusumbua.
 
Hakuna Mji wowote wa huko Kwa wavuvi kuanzia Mwanza Hadi Bukoba plus other villages zinaweza fikia Barabara na street roads za Sumbawanga.

Ndio maana nikiwaambia leta Barabara mnapoteana 😁😁.

Na mie naendelea kupiga kwenye utosi.

Sumbawanga again πŸ‘‡
 
We kweli ,,,ni WA hovyo ..hivyo vibarabara Kila siku unavirudia rudia ..vipicha vile vile vya barabara za TARURA,,,,
Hyo sumbawanga imeizidi mbeya tu
 
Ilemela is hot
 
Wenye chuki wanasema hapa ni Abu Dhabi..
na sisi tunasema yes
hii ni Abu Dhabi musoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…