Kahama VS Njombe/Mafinga

Kama hizi
 
πŸ˜€πŸ˜€ Sasa wewe mara urudie rudie mara utaje zinazopitia kwenda Bukoba,Musoma nk..

Nataka zinazoishia Mwanza tuu,ukitaja hizo manake nianze kutaja zinazoishia Tunduma,Kyela,Chunya, Sumbawanga,Lusaka,Harare 😬😬😁😁
 
Sasa wewe mara urudie rudie mara utaje zinazopitia kwenda Bukoba,Musoma nk..

Nataka zinazoishia Mwanza tuu,ukitaja hizo manake nianze kutaja zinazoishia Tunduma,Kyela,Chunya, Sumbawanga,Lusaka,Harare
ushaanza kujitetea ,zip zinazoishia musoma ..na uache ushamba aliekuambia basi za bukoba zinapitia mwanza nani
 
ushaanza kujitetea ,zip zinazoishia musoma ..na uache ushamba aliekuambia basi za bukoba zinapitia mwanza nani
Kisbo,Osaka,Falcon.Nipe picha ya hizo bus zikiwa zimeandikwa Dar-Mwz.

Kandahar unarudia mara mbili mbili 😝😝.
 
Mbeya mmkalia misumari ...yaani hampumui , kwenye ndege hoi ,kwenye mabus mlikokuwa mnategemea mmekula za uso
 
Likikamilika jengo la abiria ndo usiseme..songwe international airport ni elephant project.hamna maana uwanja wa kimataifa hata Kenya airways haijawahi kutua. Mwanza haijaitwa international bado lakini tunapokea international flights
 
Mbeya mmkalia misumari ...yaani hampumui , kwenye ndege hoi ,kwenye mabus mlikokuwa mnategemea mmekula za uso
Hamtuwezi kwenye bus hata ukipachika kampuni hewa 😝😝.

Vyuma hivyooπŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220807-120638.png
    295.8 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220807-120356.png
    231.1 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220807-103150.png
    183.1 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220807-120855.png
    269 KB · Views: 9
  • 20220807_104848.jpg
    79.9 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220812-111833.png
    219 KB · Views: 9
Eti za kutunga ..nenda stendi kama hujazikita ..unadhan serikali ni wajinga kujenga stendi mbili ndani ya mji mmoja
Njoo huku Boda ya Kasumulu-Kyela mtoe ushamba nyie πŸ‘‡
 

Attachments

  • MRADI WA MKUBWA WA KITUO CHA FORODHA KATI YA TANZANIA NA MALAWI,RAIS SAMIA KUWEKA JIWE LA MSIN...mp4
    11.9 MB
Dar lux ipo wapi hapo mkuu usafiri wangu pendwa pia kuna makampuni mengi tu umeacha.
 
Dar lux ipo wapi hapo mkuu usafiri wangu pendwa pia kuna makampuni mengi tu umeacha.
Naona mnapita kimya kimya huku mumenuna 😬😬😬😬..

Tunaba tuone Boda zenu,za kwetu hizi hapa πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220807-161851.png
    191.2 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220807-161810.png
    214.4 KB · Views: 12
  • 20220808_082315.jpg
    72.9 KB · Views: 12
  • 20220808_082312.jpg
    63.2 KB · Views: 11
  • 20220808_082303.jpg
    63.5 KB · Views: 12
  • 20220808_082301.jpg
    68.9 KB · Views: 12
  • 20220808_082255.jpg
    84.3 KB · Views: 12
  • 20220808_082258.jpg
    54.7 KB · Views: 12
  • 20220808_080857.jpg
    63.2 KB · Views: 12
  • 20220808_080853.jpg
    84.3 KB · Views: 10
  • 20220808_080900.jpg
    68.9 KB · Views: 11
Mbeya to Dar kuna vitu classic Sana πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220807-120855.png
    269 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220807-120356.png
    231.1 KB · Views: 13
  • 1978795_276644165828189_2010451143_n.jpg
    50.1 KB · Views: 15
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…