Kama unampenda sana..nauza mkaa uje kuniungisha
Kama unampenda sana..nauza mkaa uje kuniungisha
Na ndio maana kila mtu ana ya kwakeSimu ya mkononi ni ya mtu binafsi


Sasa hapo Kuna mapenzi??? Ndo yale Yale yameanzia Ulaya Leo familia zimesambaratika Wamebaki wanatoa macho wamechanganyikiwa Wamehamia homosexual Huko nako ni moto mwishowe wanajiua na wengine kansa. Msongo wa mawazo vinawamaliza!!! Siye binadamu ni watu jeuri sana.Mapenzi ya siku hizi mtu yuko radhi umshike au umlambe hata papuchino au kila sehemu ya mwili wake lakini sio kugusa simu yake
Hahahahah akikua sikumoja atakuja kuelewa kuwa mwanamke sio wa kumtumainia.
Kuna malaya mmoja alikuwa anaongea na mwana kwa simu akamwambia mchizi, "Mie nipo single japo bwana wangu hajui kama niko single"“ Usimwambie unamwamini hata kama unamtania,” Mwanafa
Kuna malaya mmoja alikuwa anaongea na mwana kwa simu akamwambia mchizi, "Mie nipo single japo bwana wangu hajui kama niko single"
NimekusomaKwani inakuaje unapenda ivyo? Kwan wanawake wazuri ni yeye tuh?penda 50% tuh,demu wako anakucheat na Huo wivu no janja ya kuficha maovu yake.embu amka ulipolala!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayana fundi boss, ukikamatika umekamatika. Hata ww leo hii unaweza kuwa poyoyo bila kujijua..Adam alikuwa poyoyo kwa Hawa akaacha kumsikiliza Mungu nakukumbusha tuu
Sasa wewe shida yko nini? Km cm yko anashika lakini yake hataki na anafuta meseji, we weka password kwenye cm yko basi. Akitaka kusoma meseji zako kwanza akupe yake, ama la usimpe yako. Akizengua achana nae.Habari wakuu, natumaini mu wazima katiaka pilika za kimaisha. Leo mimi ndugu yenu, mdogo wenu naomba kujua maana ya ili linalonikumba.
Mimi ni kijana makamu ya 25Me nipo kwenye mahusiano na binti mmoja nimemzidi 3years na mahusiano yetu naweza kusema yana zaidi ya miaka miwili changamoto zinakuwepo ila mwisho wa siku tunarudiana, kiukwl kadiri muda unavyokwenda naona upendo wangu kwa huyu binti unaongezeka mno.
Tuachane na na hayo twende kwenye point yangu, huyu mwenzangu anatabia ya kutumia muda mwingi saba na simu yangu yani huwa anapekuwa sana simu yangu kipindi tukiwa wote kuanzia sms, picha,watsap, instragram, fb kote.
Ila kwa bahati nzuri kiukweli mimi nimekuwa sahivi sina mambo mengi kama apo awali hivyo huwa namuachia akague mpaka anachoka, naweza kusema anawivu sana nakumbuka kuna siku alikuta conservaton watsap yng na mwanamke fulani ni mteja wangu wa biashara sasa alituma sms akiwa na simu yng akafanya kuchati nae ili ajue kama kuna lolote jambo ila hakukuwa na lolote.
Kiukwel sijui kama ni wivu au haniamini. Juzi amekuja kwangu kama kawaida kachukua simu yangu, nikajiongeza nikasema acha leo na mimi nimpime, nikamwambia na wew nipatie simu yako leo sio kila siku unakagua yangu tuu.
Kiukweli Hakuwa tayar kufanya ivo na tulizungushana sana ndani mpaka ikafikia hatua mimi nikakasirika ila yeye akaniambia P mm siwez kukupa simu najua tutagombana uku tension yake ikiwa ni kufuta baadhi ya sms mimi nikawa nafocuse na yeye tuu.
Nikamwambia kulikoni ufute iko unachonificha ni bora unionyeshe haijalishi kitanikwazwa kiasi gani ila nafsi yangu itaridhia na ntakusamehe km kutakuwepo na sintofahamu ila kiukwel aliridhia kufuta kuliko kunionyesha.
Najikuta uaminifu kwa uyu mpendwa unapungua na nakua namashaka. Kwann alinificha na ni kitu gani iko ndio maswali ninayojiuliza mpaka sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen to thatHapa ndipo naona Kuna watu wanacheza na mioyo yao na hatima ya maisha yao. Kama kweli mmeamua kuwa pamoja sioni haja ya kufichana chichote!! Hakuna kitu cha kutizama kwa umakini mtu anapokuwa mtu mzima kama mahusiano hili ni jambo Takatifu sana Kaliumba Mungu mwenyewe. Leo wengi wetu wanadamu tunateseka sana japo wengi hatusemi Ukweli kwa sababu ya kuchukulia kimzaha suala la Mahusiano. Ukiona huna Uhuru wa kushikiwa simu na mwenza wako jitafakari sana Mwisho wa hayo mahusiano upo karibu.
uyo msichana sio kwamba ana wivu noooo.... yaan hapo anahisi anayoyafanya huko nje yeye na wewe pia unafanya ndo maana anapekua ili akute
Tayari amekupa tahadhari ili utakayoyakuta usishangae.