Kagoma mimi kuishika simu yake

Kagoma mimi kuishika simu yake

Hapa ndipo naona Kuna watu wanacheza na mioyo yao na hatima ya maisha yao. Kama kweli mmeamua kuwa pamoja sioni haja ya kufichana chichote!! Hakuna kitu cha kutizama kwa umakini mtu anapokuwa mtu mzima kama mahusiano hili ni jambo Takatifu sana Kaliumba Mungu mwenyewe. Leo wengi wetu wanadamu tunateseka sana japo wengi hatusemi Ukweli kwa sababu ya kuchukulia kimzaha suala la Mahusiano. Ukiona huna Uhuru wa kushikiwa simu na mwenza wako jitafakari sana Mwisho wa hayo mahusiano upo karibu.
 
Mapenzi ya siku hizi mtu yuko radhi umshike au umlambe hata papuchino au kila sehemu ya mwili wake lakini sio kugusa simu yake
 
Mapenzi ya siku hizi mtu yuko radhi umshike au umlambe hata papuchino au kila sehemu ya mwili wake lakini sio kugusa simu yake
Sasa hapo Kuna mapenzi??? Ndo yale Yale yameanzia Ulaya Leo familia zimesambaratika Wamebaki wanatoa macho wamechanganyikiwa Wamehamia homosexual Huko nako ni moto mwishowe wanajiua na wengine kansa. Msongo wa mawazo vinawamaliza!!! Siye binadamu ni watu jeuri sana.
 
Habari wakuu, natumaini mu wazima katiaka pilika za kimaisha. Leo mimi ndugu yenu, mdogo wenu naomba kujua maana ya ili linalonikumba.

Mimi ni kijana makamu ya 25Me nipo kwenye mahusiano na binti mmoja nimemzidi 3years na mahusiano yetu naweza kusema yana zaidi ya miaka miwili changamoto zinakuwepo ila mwisho wa siku tunarudiana, kiukwl kadiri muda unavyokwenda naona upendo wangu kwa huyu binti unaongezeka mno.

Tuachane na na hayo twende kwenye point yangu, huyu mwenzangu anatabia ya kutumia muda mwingi saba na simu yangu yani huwa anapekuwa sana simu yangu kipindi tukiwa wote kuanzia sms, picha,watsap, instragram, fb kote.

Ila kwa bahati nzuri kiukweli mimi nimekuwa sahivi sina mambo mengi kama apo awali hivyo huwa namuachia akague mpaka anachoka, naweza kusema anawivu sana nakumbuka kuna siku alikuta conservaton watsap yng na mwanamke fulani ni mteja wangu wa biashara sasa alituma sms akiwa na simu yng akafanya kuchati nae ili ajue kama kuna lolote jambo ila hakukuwa na lolote.

Kiukwel sijui kama ni wivu au haniamini. Juzi amekuja kwangu kama kawaida kachukua simu yangu, nikajiongeza nikasema acha leo na mimi nimpime, nikamwambia na wew nipatie simu yako leo sio kila siku unakagua yangu tuu.

Kiukweli Hakuwa tayar kufanya ivo na tulizungushana sana ndani mpaka ikafikia hatua mimi nikakasirika ila yeye akaniambia P mm siwez kukupa simu najua tutagombana uku tension yake ikiwa ni kufuta baadhi ya sms mimi nikawa nafocuse na yeye tuu.

Nikamwambia kulikoni ufute iko unachonificha ni bora unionyeshe haijalishi kitanikwazwa kiasi gani ila nafsi yangu itaridhia na ntakusamehe km kutakuwepo na sintofahamu ila kiukwel aliridhia kufuta kuliko kunionyesha.

Najikuta uaminifu kwa uyu mpendwa unapungua na nakua namashaka. Kwann alinificha na ni kitu gani iko ndio maswali ninayojiuliza mpaka sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe shida yko nini? Km cm yko anashika lakini yake hataki na anafuta meseji, we weka password kwenye cm yko basi. Akitaka kusoma meseji zako kwanza akupe yake, ama la usimpe yako. Akizengua achana nae.
Mapenz ni mazuri iwapo wote mtakuwa na maelewano na kuwa na furaha kila wakati, lakini mapenz ya kila siku mkikutana ni vurugu mechi hamuelewani au ya kujengeana hasira na kutokuaminiana ni bora utafute mwanamke mwenye busara, heshima na mwenye kukujali na kukupa haja ya moyo wako na si vinginevyo.
Maisha ya sasa ni ya kutafuta maendeleo na si kujengeana visasi, hasira au baadae presha ya mapenz. Ila wewe ndo unaweza chagua nini cha kufanya.
Mwanamke pasua kichwa ni shida brother, na hapo huenda yeye anachepuka na hivyo anakuchukulia na wewe lazima utakuwa hivyo hivyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndipo naona Kuna watu wanacheza na mioyo yao na hatima ya maisha yao. Kama kweli mmeamua kuwa pamoja sioni haja ya kufichana chichote!! Hakuna kitu cha kutizama kwa umakini mtu anapokuwa mtu mzima kama mahusiano hili ni jambo Takatifu sana Kaliumba Mungu mwenyewe. Leo wengi wetu wanadamu tunateseka sana japo wengi hatusemi Ukweli kwa sababu ya kuchukulia kimzaha suala la Mahusiano. Ukiona huna Uhuru wa kushikiwa simu na mwenza wako jitafakari sana Mwisho wa hayo mahusiano upo karibu.
Amen to that
 
uyo msichana sio kwamba ana wivu noooo.... yaan hapo anahisi anayoyafanya huko nje yeye na wewe pia unafanya ndo maana anapekua ili akute
 
Ukiona katika mahusiano yenu simu ni kitu cha siri.... Basi usipoteze Muda wako acha kabisa. Naamini simu ni Chombo kimeundwa ili kurahisisha Mawasiliano. Sasa kama kinatumika vingine. Basi bado hamjapendana na hamjui mnataka nini.
 
Back
Top Bottom