Kagoma mimi kuishika simu yake

Kagoma mimi kuishika simu yake

Wenye wivu kupita kiasi kwenye mapenzi wengi wao ni cheater wakutupwa jipange kimwili na kiakili wee jifanye unajua kupenda mtu kama hujamuowa alafu huna backup uwoo ni uwenda wazimu uaminifu ninkwa Muumba wako si binadamu sisi tumeambiwa tupendane si kumuaminisha mtu kuwa wewe ni muaminifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mtu kabla ya kuwa na wewe alishakuwa na mahusiano kwa hiyo huwa anapekuwa simu yako ili kujiridhisha kuwa huna mwingine asije akakacha kule kumbe huku wewe unamwingine,kwa kifupi bado ana mawasiliano na aliyekuwa naye hata kama ana mpango wa kuachana nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simu ni mali ya mtu binafsi unaipekua ya mwenzio ili iweje? Mi najua hizo ni hulka tu za utoto na kutokomaa au kufuata mkumbo tu!!!Ila vema kujiuliza ktk "worst case scenario" kuwa unapopekua simu ya mwenzio lengo KUU ni nini? Muachane? Kuoneshana tu kuwa mnapendana (I mean "show off" maana upendo halisi upo moyoni/kichwani na hakufikiki), kulumbana? Kugombana? au nini hasa? Na jee usipopekua hiyo simu utapungukiwa nini??? Akitaka kucheki picha si unamtumia ktk simu yake folder zima nk…..Tumia upeo wako na ushawishi kuonesha utimamu sio huruma ya kumuachia mtu simu!!!
 
Kwani inakuaje unapenda ivyo? Kwan wanawake wazuri ni yeye tuh?penda 50% tuh,demu wako anakucheat na Huo wivu no janja ya kuficha maovu yake.embu amka ulipolala!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom