Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,971
- 12,291
Kuna taarifa imetolewa juu ya watu 2 kuzidi ndani ya ndege, imekaaje hiiπ πHivi ndivyo mambo yalivyo leo Novemba 7, 2022 kuhusu utaratibu wa kuaga miili 19 ya watu waliofariki katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea jana Noveba 6, 2022 Mkoani Kagera
Rubani alijiongezw bahati mbaya mungu akagomaKuna taarifa imetolewa juu ya watu 2 kuzidi ndani ya ndege, imekaaje hiiπ π
Kiufupi hatuna serikali.NCHI IMEOZA HII KWAKWELI.
KUNA WATU HAWANA AKILI TIMAMU KABISA...
Mkuu serikali Ipo ila ya wahuni.Kiufupi hatuna serikali.
Hata ubalozi wa Marekani umetoa salamu za pole,ila kwenye ajali za Mabasi hua wapo kimya tu.Mbona hawa ndugu zetu huku barabarani na hizi ajali za mabus wanakufa mara kwa mara idadi ya kutisha kuanzia 20 - 30 mara kwa mara lakini hakuna mazishi ya hivi zaidi ya kulazwa chini na ndugu kutambua miili na kuizika huku na ndugu zao wenyewe.
Ndugu wapewe miili yao na serikali ighalamikie gharama za mazishi, fedha za makusanyiko kama haya watu wajazane na viongozi wasafiri tena kwa gharama za serikali.... Baadala yake hela zikanunue patrol boats mbili na kuajili divers permanently wawe shift kwenye hizo boats na boat captain all the time.
Aviation is a global industry. Hapo ndiyo utajua hujui kwamba some born to suffer.Hata ubalozi wa Marekani umetoa salamu za pole,ila kwenye ajali za Mabasi hua wapo kimya tu.
Hatar sn !!Mbona hawa ndugu zetu huku barabarani na hizi ajali za mabus wanakufa mara kwa mara idadi ya kutisha kuanzia 20 - 30 mara kwa mara lakini hakuna mazishi ya hivi zaidi ya kulazwa chini na ndugu kutambua miili na kuizika huku na ndugu zao wenyewe.
Ndugu wapewe miili yao na serikali ighalamikie gharama za mazishi, fedha za makusanyiko kama haya watu wajazane na viongozi wasafiri tena kwa gharama za serikali.... Baadala yake hela zikanunue patrol boats mbili na kuajili divers permanently wawe shift kwenye hizo boats na boat captain all the time.
Hapo sasa !!Hata ubalozi wa Marekani umetoa salamu za pole,ila kwenye ajali za Mabasi hua wapo kimya tu.
Mimi huwa nawaza hivyo hivyo!! Hii dunia usiipapatikie saaana mtu ukajiona kama vile umefika !! Hapa ni mapito tu tena hakuna muda maalum tutaondoka tu , haijalishi wewe ni nani na unamiliki vitu gani!! One way ticket inatuhusu sote. !! Tusinyanyase na tusidhalilishe wengine ! Hapa sio Home. !!So sad π’
Kuna wakati huoni faida ya maisha, tunahangaika na maisha ili iweje wakati pumzi ikitolewa hapo unabaki mpweke kaburini ππ’π’π’
Maisha ni kama fumbo tu,Hapo sasa !!
Mimi huwa nawaza hivyo hivyo!! Hii dunia usiipapatikie saaana mtu ukajiona kama vile umefika !! Hapa ni mapito tu tena hakuna muda maalum tutaondoka tu , haijalishi wewe ni nani na unamiliki vitu gani!! One way ticket inatuhusu sote. !! Tusinyanyase na tusidhalilishe wengine ! Hapa sio Home. !!