johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,845
- 141,767
Ni agizo kutoka kwa Rais Samia,
Amiri Jeshi Mkuu, ameagiza Waziri wa Mambo ya Ndani Masauni kuanza mchakato wa ajira ya huyo kijana mara moja.
Kijana huyu ndiyo alizamia na kwenda kufungua mlango wa ndege na hatimaye abiria 24 wa Precision Air iliyozama kuokolewa.
Source: TBC
======
Waziri mkuu akiwa kwenye shughuli ya kuaga miili ya kuaga marehemu waliopata ajali kwenye ndege ya Precision, amesema Rais Samia ametoa agizo kijana aliyewanusuru watu waliokwama kwenye ndege hiyo atafutiwe nafasi kwenye Jeshi la uokozi.
Pia Serikali kugharamia mazishi ya wote waliofariki kwenye ajali hiyo.
=====
MAJALIWA JACKSON AMECHUKULIWA RASMI NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI
Kijana huyo maarufu kama "MaJa Munyama" ambaye alifanikiwa kufungua mlango wa Ndege ya Precision Air iliyopata ajali Ziwa Victoria ameondoka Bukoba kwa ajili ya kuanza mafunzo rasmi ya Uokoaji
Leo Novemba 7, 2022 Rais Samia aliagiza kijana huyo aingizwe Jeshi la Uokoaji ikiwa ni pongezi ya Ujasiri wa kuifikia Ndege na kuvunja mlango uliofanya watu 24 kuokolewa kwenye maji.
Amiri Jeshi Mkuu, ameagiza Waziri wa Mambo ya Ndani Masauni kuanza mchakato wa ajira ya huyo kijana mara moja.
Kijana huyu ndiyo alizamia na kwenda kufungua mlango wa ndege na hatimaye abiria 24 wa Precision Air iliyozama kuokolewa.
Source: TBC
======
Waziri mkuu akiwa kwenye shughuli ya kuaga miili ya kuaga marehemu waliopata ajali kwenye ndege ya Precision, amesema Rais Samia ametoa agizo kijana aliyewanusuru watu waliokwama kwenye ndege hiyo atafutiwe nafasi kwenye Jeshi la uokozi.
Pia Serikali kugharamia mazishi ya wote waliofariki kwenye ajali hiyo.
=====
MAJALIWA JACKSON AMECHUKULIWA RASMI NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI
Kijana huyo maarufu kama "MaJa Munyama" ambaye alifanikiwa kufungua mlango wa Ndege ya Precision Air iliyopata ajali Ziwa Victoria ameondoka Bukoba kwa ajili ya kuanza mafunzo rasmi ya Uokoaji
Leo Novemba 7, 2022 Rais Samia aliagiza kijana huyo aingizwe Jeshi la Uokoaji ikiwa ni pongezi ya Ujasiri wa kuifikia Ndege na kuvunja mlango uliofanya watu 24 kuokolewa kwenye maji.