Mutensa
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 421
- 90
Kwa mnaokumbuka,
wana-kagera na wote wenye mapenzi mema walikusanyika kwa jitihada zote kwenda diamond jubilee (kama sisahau) kwa ajili ya kuchangia mfuko wa kusaidiia maendeleo ya elimu mkoa wa kagera. Ni pesa ndefu ilikusanywa siku hiyo na ahadi lukuki za kuchangia katika mfuko huo. Tangu tukio hilo limeisha, hatujasikia tena kilichoendelea. Je, kuna shule zimejengwa, vitabu kununuliwa, au nyumba za walimu kulala zimejengwa. Kuna mwenye chochote anayeweza kutwambia mpango huu umefikia wapi mpaka sasa.
Je,
pledge ziliendelea kukusanywa?
Mpaka sasa zimepatikana sh ngapi na kiasi gani zimetumika na wapi?
ahsanteni.
wana-kagera na wote wenye mapenzi mema walikusanyika kwa jitihada zote kwenda diamond jubilee (kama sisahau) kwa ajili ya kuchangia mfuko wa kusaidiia maendeleo ya elimu mkoa wa kagera. Ni pesa ndefu ilikusanywa siku hiyo na ahadi lukuki za kuchangia katika mfuko huo. Tangu tukio hilo limeisha, hatujasikia tena kilichoendelea. Je, kuna shule zimejengwa, vitabu kununuliwa, au nyumba za walimu kulala zimejengwa. Kuna mwenye chochote anayeweza kutwambia mpango huu umefikia wapi mpaka sasa.
Je,
pledge ziliendelea kukusanywa?
Mpaka sasa zimepatikana sh ngapi na kiasi gani zimetumika na wapi?
ahsanteni.