Kagame na Kikwete wazidi kukwepana

Kagame na Kikwete wazidi kukwepana

Sipati uhusiano wa kuelewana,kupendana,kuvumiliana na hayo unayosema kuwa unaambiwa na mkeo kama kweli ndoa ni makubaliano yanayoungwa na mapenzi basi umeyaoenda na kuyakubali!!!!!!

Otherwise kama umeoa, wewe barubaru,una nafasi kimaisha,una fedha yako bado unabaguliwa na unajuta ila bado uko naye ndio najiuliza au umeolewa wewe??????!!!!

Mimi kwangu aibu ni hii unayoeleza kuliko mimi kuulizia hiyo nature ya ndoa yako!!!



OLESAIDIMU
Sasa ume-eleweka reading you 5/5 I just wanted to express my feelings and at least to share the sympathy ahsante umenionyesha mlango wa pili.
Shukran Jazeera!!
 
OLESAIDIMU
Hiki ni kisa cha kweli, nimejaribu kuwa muwazi, nisingependa Mtanzania rijali, barubaru,mwenye nafasi yake kifedha na kimaisha,yamkute kama yalivyo nikuta mimi,au wewe unataka kupotosha mada Aibu!!!!

nimekusoma kaka hata mimi niliwahi kuoa huko ruhenjeri musanze mtoto wa kitusi kaiva kwelikweli, ila niliishi nae miaka 3 bila mimba wala dalili, kumfuatilia nikagundua alichoma sindano za kuzuia mimba, nikaamua kupiga chini faster, dah wana garama hao watu balaa
 
Wakuu Mwadilifu na mseveni muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar umejaa usanii wa hali ya juu nitakutajieni sababu mbili kuu.

1.Muungano ambao mtanganyika akienda Zanzibar hana tofauti na mgeni toka Kenya au Sudan.
a, Mtanganyika hana haki ya kuchaguliwa au kuchagua viongozi akikanyaga ardhi ya Zanzibar.
b. Mtanganyika hana haki ya kumiliki ardhi ya Zanzibar .
c. Mtanganyika lazima aombe kibali cha ukaazi Zanzibar
d. Mtanganyika hawezi kuajiriwa na SMZ
e. Mtanganyika si chochote si lolote akikanyaka ardhi ya Zanzibar
f. Mzanzibar ana uraia wa nchi mbili,kwanza ana uraia wa Zanzibar pili ana uraia wa Tanzania.
g. Mtanganyika anawajibika kubeba gharama zote za muungano,ulinzi na usalama wazanzibar hawachangii chochote hata hili bunge la katiba Zanzibar haijatoa ndururu.
h. Makusanyo ya kodi upande wa Zanzibar yanabaki huko huko Zanzibar.

Mnaofikiri huu muungano si wakisanii niambieni nini faida za muungano kwa waTanganyika.

Mkuu, Hayo ni mapungufu ambayo yanatakiwa yafanyiwe kazi la kini siyo usanii. Sijui wewe hili neno usanii unalitafsiri vipi. Huu ni muungano wa nchi 2, sawa nakubali kuna favor ambazo tuliwapa wenzetu kutokana na udogo wa nchi zao lakini siyo usanii. Naomba utumie Terminology iliyo bora kidogo mkuu.
 
Lakini nakosa majibu ya nini hasa kimejificha nyuma ya kajimgogoro kati ya Jk na Kagame.
Isije ikawa ni mambo binafsi yanawasumbua!!!
Move nyingi zinakuaga na mafundisho ya migogoro mikubwa inayoweza ikasababisha mpaka vita kubwa lakini chanzo chake ni mambo hinafsi kama kudhulimiana fedha na wanawake.
Unakuta watu hawelewani kabisa hata makazini hawaongei kabisa kisa wanawake.
Kauli tu ya kushauri kumshauari kagame akae meza moja na wapinzani wake ndo imepoteza urafiki wa miaka mingi kweli?
 
Mkuu JustDoItNow unaweza kuyaita hayo ni mapungufu wakati muungano umetimiza miaka 50 ?.

Mkuu, Hayo ni mapungufu ambayo yanatakiwa yafanyiwe kazi la kini siyo usanii. Sijui wewe hili neno usanii unalitafsiri vipi. Huu ni muungano wa nchi 2, sawa nakubali kuna favor ambazo tuliwapa wenzetu kutokana na udogo wa nchi zao lakini siyo usanii. Naomba utumie Terminology iliyo bora kidogo mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Lakini nikiangalia kwa makini mgogoro huu ni baina ya marais sio nchi. Nina uhakika hata Rwanda kunao wasiompenda Kagame. Inafaa ieleweke marais ni wanasiasa na kawaida hawana uadui wala urafiki wa kudumu ila matakwa yao tu. Kama walivyo wabunge. Sasa haifa raia ninyi mkosane au kuchukia Rwanda kwa ajili ya tofauti za viongozi.
Kagame na Jakaya wao ndo wanajua kunani.

Kunatofauti kubwa ya Uzalendo wa Mtanzania kwa nchi yake na Rais wake Vs Wakenya na Uzalendo wenu kwa nchi yenu na Rais wenu......Pia kuna tofauti kubwa sana kati ya Rais wa Tanzania anavyowahudumia wananchi wake Vs Rais wa Kenya anavyohudumia wananchi wa Kenya.........usije kujidanganya hata siku moja matatizo mliyonayo Wakenya, Waganda, Warwanda na Waburundi......kuyanakisi kwa Watanzania......

Nina bahati nimewahi kuishi Uganda, Kenya, RDC, Malawi na Rwanda....hivyo naelewa ni jinsi gani wananchi wa maeneo mbali mbali ya nchi hizo wanavyofikiri juu ya Rais wa nchi zao.......ni kuna tofauti kubwa sana na Tanzania.....

Rais wa Tanzania anapotukanwa na kutishiwa...reaction ya Watanzania haitakuwa kama unavyojaribu kunasibu...
 
OLESAIDIMU
Sasa ume-eleweka reading you 5/5 I just wanted to express my feelings and at least to share the sympathy ahsante umenionyesha mlango wa pili.
Shukran Jazeera!!


Shukraan maalim na uniwie kama nimeongea lakhawi ila i just felt bad kwa nini aongee hivyo????!!

Allah akujaalie kheri kaka
 
kagame mtt mdogo .tumemlea hapa bongo kama wenzie Kabila, M7 na wengine.hacha azulule wee atarundi tu hapa Mama Tanzania
 
Na mimi nimeliona hilo,
Niongezea hapo, Na juzi Waziri Mkuu Mh. Pinda amemuwakilisha Mkuu wa Kaya kwenye Mkutano wa EAC, Nairobi Kagame alikuwepo ila Kikwete hakuwepo.
Sijui kuna nini ???


Rais Kikwete wa Tanzania na Rais Kagame wa Rwanda wameendeleza mizengwe ya kukwepana.Ikumbukwe Rwanda iliazimisha miaka 20 ya mauaji ya kimbari marais wote wa EAC na viongozi wa mataifa mbali mbali walihudhuria kumbukumbu hiyo isipokuwa Rais Kikwete alikimbilia kijijini kwake kumpigia kura mwanae Riziwan Kikwete aliyekuwa akiendeleza sera za usultan Bagamoyo.

26 April 2014 Tanzania ilisherekea miaka 50 ya muungano wa kisanii baina ya Tanganyika na Zanzibar marais wote wa EAC pamoja na wageni wengine mashuhuri toka sehemu mbali mbali walihudhuria sherehe hizo zilizotamalakiwa na maonyesho ya silaha za kivita na magwaride ya majeshi yetu ya ulinzi na usalama Rais Kagame alishindwa kuhudhuria sherehe hizo bila kujali Tanzania ilipokea wakimbizi wengi sana toka Rwanda kipindi cha machafuko.

Juzi yaani tarehe 30 April - 1 May 2014 wakuu wa nchi za EAC walikuwa na kikao cha kawaida mjini Arusha marais wote wa EAC walihudhuria kikao hicho muhimu isipokuwa Rais Kagame akaamua kukimbilia USA kwenye vimkutano vya uchochoroni ili kumkwepa Kikwete akaamua kumtuma waziri mkuu Pierre Damien Hubumuremyi kumwakilisha.

Bila shaka tutaendelea kushuhudia visa na mikasa mingi baina ya Kikwete na Kagame.
 
Hata Jana niliangalia taarifa ya habari saa 2 usiku na niliona taarifa ya Mhe. Waziri Mkuu Pinda akimwakilisha Mhe Rais wetu kwenye kiako cha viongozi wa EAC kuhusu miradi.
Rais Kikwete wa Tanzania na Rais Kagame wa Rwanda wameendeleza mizengwe ya kukwepana.Ikumbukwe Rwanda iliazimisha miaka 20 ya mauaji ya kimbari marais wote wa EAC na viongozi wa mataifa mbali mbali walihudhuria kumbukumbu hiyo isipokuwa Rais Kikwete alikimbilia kijijini kwake kumpigia kura mwanae Riziwan Kikwete aliyekuwa akiendeleza sera za usultan Bagamoyo.

26 April 2014 Tanzania ilisherekea miaka 50 ya muungano wa kisanii baina ya Tanganyika na Zanzibar marais wote wa EAC pamoja na wageni wengine mashuhuri toka sehemu mbali mbali walihudhuria sherehe hizo zilizotamalakiwa na maonyesho ya silaha za kivita na magwaride ya majeshi yetu ya ulinzi na usalama Rais Kagame alishindwa kuhudhuria sherehe hizo bila kujali Tanzania ilipokea wakimbizi wengi sana toka Rwanda kipindi cha machafuko.

Juzi yaani tarehe 30 April - 1 May 2014 wakuu wa nchi za EAC walikuwa na kikao cha kawaida mjini Arusha marais wote wa EAC walihudhuria kikao hicho muhimu isipokuwa Rais Kagame akaamua kukimbilia USA kwenye vimkutano vya uchochoroni ili kumkwepa Kikwete akaamua kumtuma waziri mkuu Pierre Damien Hubumuremyi kumwakilisha.

Bila shaka tutaendelea kushuhudia visa na mikasa mingi baina ya Kikwete na Kagame.
 
Sorry katika kikao. Maraisi wote wa EAC walihudhuria isipokuwa Mhe JK.
Hata Jana niliangalia taarifa ya habari saa 2 usiku na niliona taarifa ya Mhe. Waziri Mkuu Pinda akimwakilisha Mhe Rais wetu kwenye kiako cha viongozi wa EAC kuhusu miradi.
 
Hata ningekuwa mimi nisingeudhulia...unafiki wa nini? Ngoja mtu fudenge atoke madarakani (kama atatoka) labda; nasema labda Tz tutawahamini hawa 'partners'....(hakuna partnership bila trust)

Sorry katika kikao. Maraisi wote wa EAC walihudhuria isipokuwa Mhe JK.
 
Im nt dat pro government but i dont find it correct to say such a thng,do u have any substantive cause to substantiate ur claim mkuu?

swali hili hata mdogo wangu wa starndad six hawezi uliza!!!!!!
 
Back
Top Bottom