Kagame maji ya shingo sasa

Kagame maji ya shingo sasa

Usiongee kishabiki. UN imetangaza kupeleka drones DRC na sio Rwanda. Hiyo ya Rwanda kusaidia M23 ni speculation zako,

Vipi ile platoon moja aliyoahidi Membe kuipeleka DRC kupambana na M23 mmeshaipeleka, au ilishakuwepo kule siku nyingi.

Muelewe mleta mada. Kagame ndiye mfadhiri mkuu wa harakati za M23 nchini DRC. Hii ni kwa mujibu wa riport mbalimbali za umoja wa mataifa, sasa speculations zinakujaje? kwa jinsi hiyo hawezi kufurahishwa na ujio wa drones hizo kwani mipango yake mingi itafeli. Ni kweli Rwanda ndio nchi pekee iliyopinga mpango huo ndani ya baraza la usalama la umoja wa mataifa. Sasa jiulize kwa nini ipinge wakati ndege hizo zinakwenda DRC? Reference: BBC news- Star tv saa tatu usiku ya tarehe 9/1/2013.
 
Usiongee kishabiki. UN imetangaza kupeleka drones DRC na sio Rwanda. Hiyo ya Rwanda kusaidia M23 ni speculation zako,

Vipi ile platoon moja aliyoahidi Membe kuipeleka DRC kupambana na M23 mmeshaipeleka, au ilishakuwepo kule siku nyingi.
Mkuu wewe inaelekea ndio kati ya wale 35,000 waliotajwa na Mtikila.
Halafu hebu nipe majibu kwa maswali haya
1. Kwa nini unasema M23 ni speculation wakati kuna wenye uwezo zaidi kuliko ninyi walioonyesha na kuchunguza supply
routes za M23 kuwa zinaanzia Kigali?

2. Kama Kagame hawasaidii M23 ni kwa nini mnapinga mpango wa kuweka drones zitakazoweza kuangamiza hao
maharamia wa M23?
3. Kwa nini unapata mchecheto wa kuona kama jeshi la Tanzania lipo Goma?

Hebu jitanabahishe mkuu.
 
Mkuu Mtikila kesha sema wako 35,000 humu nchini kwa mpango kabambe wa Kagame.

wamejaa kila kona tulimwona jamaa mmoja kateuliwa kuwa mwenyekiti wa kijiji huko serengeti na wanajua kabisa ni mnyarwanda
ndugu zangu taifa hili halina mwenyewe kila mtu anaingia na kufanya atakalo
 
Drones zinasimamiwa na un au us? Madhara yk usifikiri yanakomea rwanda tu, zile surveillance za hali ya juu, utashangaa zinaingilia anga ya tanzania kuchukua infos bila ht cc wenyewe kujua, km hakuna mwingine wa kulalamika ni kwa sbb anaogopa kubishana na marekani na wala si vinginevyo. Un wamekuwa pale kwa miaka kibao hakuna kinachofanyika, km walifanikiwa kupata ripoti za rwanda kushiriki basi ni wasiishie kutoa ripoti tu, warushe miushahidi ionekane,
 
Drones zinasimamiwa na un au us? Madhara yk usifikiri yanakomea rwanda tu, zile surveillance za hali ya juu, utashangaa zinaingilia anga ya tanzania kuchukua infos bila ht cc wenyewe kujua, km hakuna mwingine wa kulalamika ni kwa sbb anaogopa kubishana na marekani na wala si vinginevyo. Un wamekuwa pale kwa miaka kibao hakuna kinachofanyika, km walifanikiwa kupata ripoti za rwanda kushiriki basi ni wasiishie kutoa ripoti tu, warushe miushahidi ionekane,
Nafikiri huelewi msuguano uko wapi.

US ikiamua kuchunguza kitu chochote tena popote nchini humu au nchi yoyote Afrika inaweza kufanya hivyo maana inayo nguvu na rsilmali ya kutosha.

Hapa ni UN imeomba msaada wa US kupitia Security Council maana mwenye drones zinazotamba duniani kwa sasa ni US.
Haya yote yasingetokea kama si siasa za kibabe za mwenzetu huyu Kagame.
Mbaya zaidi hakuna aliyepamoja naye katika zoezi la kuingiliaKongo isipokuwa pengine Museveni.

Bahati nzuri Kagame amekwisha onywa mara kadhaa tena na hata Obama mwenyewe kuacha mchezo wake, amasivyo ataingiliwa kijeshi kwa gemu hilo hilo analo cheza.

SADC wamemuonya Kagame kaziba pamba masikio, Afrika Mashariki kaonyesha dharau tupu.
Upande wa pili ndio huo una Tanzania ambao hatujafurahiwa na zoezi la Kagame na hata kina Mugabe na Dos Santos, simba waenda kimya.

Kwamba UN imeanza kufikiria silaha kali inaonyesha kuchoshwa kw mataifa kuidekeza Rwanda na michezo yake DRC.
 
Leo nilikuwa maeneo ya Mbagala. Nimeona Jet Fighters mbili zinapiga jaramba angani. Kuna anayejua nini kinaendelea wadau??
 
Wakuu nimeipata BBC jioni hii. Msemaji wa waasi amelalamikia kweli jambo hili. Ameulizwa watafanya nini kama drones zitaingia maeneo yao akakosa la kusema. Bravo UN Security Council.
 
Wakuu nimeipata BBC jioni hii. Msemaji wa waasi amelalamikia kweli jambo hili. Ameulizwa watafanya nini kama drones zitaingia maeneo yao akakosa la kusema. Bravo UN Security Council.

Hii niliipata jana na kilichonishangaza ni Kagame, ambaye pia alilalama sana na kudai eti wanalifanya eneo hilo kama sehemu ya experiment.

Yaonekana sasa akina Kagame wanaanza kuumbuka na unafiki wake.
 
Je ni kweli! Rwanda inachangia mzozo wa Kongo!au ni sera zilezile za wakubwa(Marekani,Ulaya)ukigoma kufata sera zao!!!,
 
Mbio za sakafuni zinaelekea ukingoni. Kagame ni mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo .. namna ya kumtambua.."Tutachekesha halafu tuone canines zake!!!" .. drones is the way to go..atacheka na tutamgundua...
 
Note Drone hizo hitaruka katika anga ya DRC si Rwanda. ila wakijaribu kuingiza wajeshi wao kama walivyofanya november 2012 wananaswa.

Pili haiitaji kujua kusoma na kuandika ndo ujue Rwanda/Kagame inafadhili waasi Congo.
haya tafakari haya.
1. Kwanini Nkunda baada ya kufurushwa Congo sasa anaishi Rwanda kama peponi.
2. Wajua waziri wa ulizi wa sasa wa Rwanda ndo alikua Mkuu wa majeshi Congo.
3. wajua waasi wakuu wafuatao wamewahi kuwa makamanda wa jeshi la Rwanda.Raulent Nkunda, Bosco Ntaganda, Sultani Makenga, Kazarama
4 je wajua familia za hao wa Waasi ziko gisenyi Rwanda siyo Kongo.

ukweli kagame ametumikia US na sasa wamemshiba sasa wanabadilisha matumizi


Mkuu nyabhera
Naona unauma maneno, ukumbatie tu mbuyu acha kuuzunguka i.e kama Kagame/Rwanda wanatumika na US/Western Powers ina maana kuwa US/Western Powers wanafadhili waasi huko DRC. Unafikiri hizo drones zinakwenda kuilinda DRC dhidi ya waasi? a big NO. Wakuu wa magharibi na marekani wanaenda ku-monitor mzigo wa resources wanaosomba DRC kupitia carriers wao Rwanda na Uganda ili ufike kwao the whole na si portion kama unavyofika sasa ambapo Rwanda na Uganda wanachukua portion fulani na kuimarisha majeshi na uchumi wao kinyume na makubaliano. Have my word!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nyabhera
Naona unauma maneno, ukumbatie tu mbuyu acha kuuzunguka i.e kama Kagame/Rwanda wanatumika na US/Western Powers ina maana kuwa US/Western Powers wanafadhili waasi huko DRC. Unafikiri hizo drones zinakwenda kuilinda DRC dhidi ya waasi? a big NO. Wakuu wa magharibi na marekani wanaenda ku-monitor mzigo wa resources wanaosomba DRC kupitia carriers wao Rwanda na Uganda ili ufike kwao the whole na si portion kama unavyofika sasa ambapo Rwanda na Uganda wanachukua portion fulani na kuimarisha majeshi na uchumi wao kinyume na makubaliano. Have my word!

hahahaha. Mkuu. kweli US ndo walifanya Proxy ya Kumu~install kagame.
Lakini maslahi ni tofauuti wakati US wako Lutafuta madini. Kagame yeye analengo la kuua na kuamisha makabila asilia ya North kivu ili apate sehemu ya Watutsi kuishi.
Nakatika kutekeleza hilo ndo uasi na vita hautaisha kivu ili kila anayeondoka asirudi na aridhi kutwalia na wahamiaji toka Rwanda.
Lengo kuu likia kuaitenga Kivu toka Congo liwe taifa la Watusi hapo mbeleni.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom